Mr Bundi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 324
- 414
- Thread starter
- #41
Eyoo naghani,ni mtazamo wa fani,ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni.Asante Profesa Jay, Majani na Ulamaa
Mmegusa nnapo’pataka
Name kwenye mtazamo’ na jambo nataka’ kuweka
Maana kila kukicha ma-emcees wanaongezeka
Nasema very nice!
Yes! Rap kama dhehebu
Wingi wa wasanii’ inaonesha ni dini swafi
Yaani imekubalika’ waumini tuko wengi’
Lakini bado na shaka’ sijapata uhakika
Wote tumesadiki?
Au wengine ni feki’ mmetumwa kama mamluki