Hip-Hop yetu Wa-Bongo tunakosea wapi ?

Hip-Hop yetu Wa-Bongo tunakosea wapi ?

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Licha ya wasanii wapatao 17 kutokea TZ kuwa nominated kwenye Afrimma mwaka huu, hakuna msanii wa hiphop ambaye amekuwa nominated ?

Ni wapi wasanii wetu wa ku-rap wanakwenda kombo au hiphop inakataa kiswahili kabisa ?
 
Subiri Rosa Ree atatubeba mwakani akiendelea kukaza hivihivi!!
 
Licha ya wasanii wapatao 17 kutokea TZ kuwa nominated kwenye Afrimma mwaka huu, hakuna msanii wa hiphop ambaye amekuwa nominated ?

Ni wapi wasanii wetu wa ku-rap wanakwenda kombo au hiphop inakataa kiswahili kabisa ?
Binafsi siamini kama tuzo ni kiashiria cha ukali wa mtu. Sema kuna fursa ambazo unakuwa umepishana nazo ikitokea haujapata nafasi ya kushiriki kwa sababu watu wengi sana, kwenye industry kutokea mataifa mengi, wanakutana hapa. Kwa upande wa fursa na biashara ni hasara ila kiukali it means nothing!
 
Back
Top Bottom