Hints za kufaulu Oral Interview za Sekretariet ya Utumishi wa Umma

Vijana mjifunze haya mambo kwa kweli, mnatia huruma, mimi nimehusika mara kadhaa kwenye kusaili kama msaili au interviewer, vijana wengi huja kama hawajajipanga kabisa, kuanzia mavazi hadi body language.
Mara nyingine najikuta nasoma CV ya mtu mara mbili mbili maana nashangaa huyu ninayemuhoji kweli ndiye mmiliki wa hii CV maana hawaendani.
Unapaswa ukariri CV yako neno kwa neno, sio una copy paste vitu humo halafu ukihojiwa unakondoa mimacho kama ambaye haujui unahojiwa nini.
 
Na pia swali la "tell me about yourself" ni namna gani sahihi ya kulijibu hili swali maana kuna watu wanasema namna tofauti tofauti. Kuna mmoja kanambia unataja majina yako then unaendelea na elimu kuanzia chuo na kuendelea then mwingine ameniambia unaanza kwa kutaja majina yako kisha unaanza elimu yako kuanzia primary na kuendelea.

Kwa wazoefu, naomba mnisaidie katika hili
 
Na pia swali la "tell me about yourself" ni namna gani sahihi ya kulijibu hili swali maana kuna watu wanasema namna tofauti tofauti. Kuna mmoja kanambia unataja majina yako then unaendelea na elimu kuanzia chuo na kuendelea then mwingine ameniambia unaanza kwa kutaja majina yako kisha unaanza elimu yako kuanzia primary na kuendelea.

Kwa wazoefu, naomba mnisaidie katika hili
Kwa Mtazamo wangu

Ukishajitambulisha Majina yako➡️Utafata Miaka yako➡️Elimu yako (In Ascending Order) yaani kutoka chini zaidi kuja juu zaidi.
 
Na pia swali la "tell me about yourself" ni namna gani sahihi ya kulijibu hili swali maana kuna watu wanasema namna tofauti tofauti. Kuna mmoja kanambia unataja majina yako then unaendelea na elimu kuanzia chuo na kuendelea then mwingine ameniambia unaanza kwa kutaja majina yako kisha unaanza elimu yako kuanzia primary na kuendelea.

Kwa wazoefu, naomba mnisaidie katika hili
Kwa muktadha wa interview ya utumishi kwa maswali matano na unakuwa na dakika 15 ili swali la kwanza unatakiwa kuwa umeliandaa vizuri ili lisichukue muda wako mwingi!
Mfano unaweza Sema mimi ni Zena muhitimu wa Course ya takwimu!

Halafu unaenda moja kwa moja kwenye background ya Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea halafu mwishoni unamalizia na kuelezea working experience!
Kumbuka hawa watu wana CV yako si lazima uanze kusema una miaka mingapi mara dini gani mara sijui umeoa au umeolewa …cha msingi hili swali linataka kujua historia fupi kuhusu wewe na ni muhimu hili swali ukaliandaa vizuri na ukalimeza na hakikisha lisichukue dakika zaidi ya tano uwe fasta uli uendelee na maswali mengine
 
Back
Top Bottom