GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,892
- 109,610
Wanautope wanautopolo wanakazi. Na Simba huko Zambia tukacheze mpira kazi sio simple. Those guys have had a good lesson about us, they have scientifically studied our squad, football and philosophy.Ndugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ( Fabregas ) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
nincompoopNdugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ( Fabregas ) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
Idara pendwa bongo ishatuma vijana 33 kwa majukumu maalum. Bongo nyoso.Ndugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ( Fabregas ) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
Roho mbaya itakuua kiazi weweNdugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ( Fabregas ) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
Wewe ni Bwaku Ngaji.Ndugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima (Fabregas) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
hatufungwi sisi,subiri utaonaNdugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima (Fabregas) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
Mtoano haina point tatuMwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani
Kama kobabaa.Wewe ni Bwaku Ngaji.
Nimecheka mpaka basi.GENTAMYCINE
Umeukweka lakini?
POPOMA hawezi kujua hiloMtoano haina point tatu
Hii sio hoja Kwan mwaka Jana na Miaka mingine zilikua zinaingia timu ngap?Yanga aliingia makundi mwaka 1998 wakati huo zikiingia timu 8 tu, ambazo ni sawa na Robo fainali ya sasa ambayo Simba anatamba nayo.
Kwa mantiki hiyo sielewi mnaposema Yanga hajawai fika Robo ya mashindano haya
Wewe waache tu na mbio zao za sakafuni watarudi kama mazombie hapa, ile kufika fainali ya kombe la vibonde wanajiona wamemaliza. Ulimbukeni ni gonjwa baya sana.Ndugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima (Fabregas) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
Kama ambavyo nilicheka kwa mara ya kwanza nilipoona hilo neno kuukweka!Nimecheka mpaka basi.