Hili tatizo siyo lako peke yako

Hili tatizo siyo lako peke yako

Mwakawasila

Member
Joined
Oct 23, 2024
Posts
39
Reaction score
68
Ushawahi Jiuliza kwanini ukipanga jambo baadae unajipatia udhuru mwenyewe...

Ni kweli unajisemea saizi natunza kiasi Fulani Cha pesa mfano 100,000 lakini ikifika 20,000
Unaitumia???

Hata usipoitumia inakuwa kama ushajicholea msitari kwamba hapa huvuki duu...

Na ukipata pesa unayotaka utapigiwa simu na kuambiwa tatizo linaloendana na pesa yako so sad🥹

Mara utasikia mjomba kameza mkasi na inahitajika 300,000 tumejitahidi Bado 70,000
Tusaidie nawewe ndiyo uliyo nayo,

Sasa sijui utamsaidia akatoe mkasi au utimize malengo yako,

Hali kama hii ilinikuta na nimeipitia na najua maumivu yake

Iliisha Hadi nilipoamua kusema
MILIONI SIYO HELA KUBWA

Elewa kwamba pesa ni nguvu na huwezi kumiliki nguvu kama huna nguvu..

Huwezi kumiliki milioni 1 kama hujaboresha mindset yako kuwa ya Milioni moja

Kwa hiyo chini ya usimamizi wangu nitakusaidia kile nilichokifanya na kikanipatia matokeo,..

Sikupatii pesa lakini nakusaidia kuibua uwezo wako wa kumiliki Pesa,

Sehemu ambazo hata shangazi akimeza pasi hatutatoa,

Pesa haihitaji mtu mlaini

Hii program nilianza Toka mwaka jana. Ni mwendelezo

Utajiunga Kwa 9999 Tsh Kwa hiyo offer ni ndani ya miezi 6 utakuwa umefikisha hata zaidi 1M

Mwisho ni Tarehe 12 lipia na weka nafasi kabla haijapanda

Ni watu 20 tu nahitaji lakini nafasi Hadi saizi zimechukuliwa 7

Replay MILIONI SIYO HELA KUBWA

Na ulipie kwenda 0744980339 Mwakawasila
 
Ni vyema ungeelezea ni program gani?, inafanyaje kazi?, ili mtu aelewe kabla ya kufanya maamuzi
 
Kwa mwendo huo lazima ufikishe Milioni 1 yako ya kwanza. Hii dunia kila mtu anampigia hesabu mwenzake ni namna gani atachukua hela zake.

Ukiwa mzembe tu, walaaaaaa😂
 
Sina kazi
Nikilipa hiyo 10000
Nitapata hela ya kufikia milioni
 
Naona jinsi watu wanavyoenda kugeuzwa fursa. Watu wanaenda kupigwa kama ngoma na watatoa mlio kama mbuzi.
Kwasasa tulipofikia nchi hii, ukiona unaitwa kwenye fursa basi jua wewe ndiyo fursa yenyewe
 
Hii marketing strategy ya 9999 naona kama siku hizi imekua over-used , badala ya 10000 mtu analeta 9999 nikikuambia unipe change utanipa nini?
 
Back
Top Bottom