Hili suala la mafuta ni kiini macho!?

mtozatozo

JF-Expert Member
Sep 25, 2021
459
412
Ni zaidi ya wiki mbili nilimsikia waziri wa nishati ndugu Makamba akisema "eti" mama Samia amepunguza baadhi ya tozo kwenye petroli na dizeli ili kuleta ahueni kwa watumiaji, Sasa tangu aseme bei haijashuka hata senti.... wakati wa kupandisha huwa hamsubir kutangaza kwenye gazeti! Hivi hizi procedure za kikoloni tutaishi nazo hadi lini!! Nchi inatia hasira sana hii!!
 
Ni zaidi ya wiki mbili nlimsikia waziri wa nishati ndugu makamba akisema "eti" mama samia amepunguza baadhi ya tozo kwenye petroli na dizeli ili kuleta ahueni kwa watumiaji, Sasa tangu aseme bei haijashuka hata senti.... wakati wa kupandisha hua hamsubir kutangaza kwenye gazeti!hivi hzi procedure za kikoloni tutaishi nazo hadi lini!!!nchi inatia hasira sana hii!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unawaambia lake oils? Au camel
 
Usichojua ni kuwa kwa shehena iliyoshushwa siku za karibuni mafuta ilibidi yauzwe zaidi ya 3000 lakini baada kupunguza tozo bei imebaki palepale
 
Ni zaidi ya wiki mbili nlimsikia waziri wa nishati ndugu makamba akisema "eti" mama samia amepunguza baadhi ya tozo kwenye petroli na dizeli ili kuleta ahueni kwa watumiaji, Sasa tangu aseme bei haijashuka hata senti.... wakati wa kupandisha hua hamsubir kutangaza kwenye gazeti!hivi hzi procedure za kikoloni tutaishi nazo hadi lini!!!nchi inatia hasira sana hii!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ukitambua kuwa taarabu ni burudani hutaumiza kichwa chako mkuu
 
Huwe unaelewa basi mkuu....mafuta yalitakiwa kupanda kwa shilingi 100 kwa lita bila kuondoa tozo!
Hiyo shilingi mia unayosema ilipanda Ck tunaanza mwaka huu wa fedha! kama unakumbuka kabwa ya mwezi wa saba ilikuwa inacheza around2100 kwa petrol kwa DSM.mwezi wa 8tena EWURA wakaweka'cha juu' km kawaida yao ile jumatano ya kwanza ya mwezi.,ndo ikafika hii 2400+ tulionayo sasa.. mwezi wa tisa tena EWURA wakafanya yao....ndo hapo makamba akajitokeza kwanza kusitisha bei mpya ya mwezi wa tisa, akaahidi kupitia gharama zote tangu uagizaji... then ndo "akatupanga"kwamba kuna tozo fulani fulani pia zitaondolewa kuleta nafuu zaidi.ss ukiangalia risiti zile tozo ziko pale pale.hakuna taasisi ambayo imepunguzwa pale.nadhani umenielewa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Usichojua ni kuwa kwa shehena iliyoshushwa siku za karibuni mafuta ilibidi yauzwe zaidi ya 3000 lakini baada kupunguza tozo bei imebaki palepale
Kwa hiyo mafuta yanapanda kwetu tu? Uzeni hata 5000 Lita. Hakuna asiyejua kuwa mpo kuwanufaisha matajili na mmewapa Uhuru wa kufanya wanachotaka.
 
Kwa hiyo mafuta yanapanda kwetu tu? Uzeni hata 5000 Lita. Hakuna asiyejua kuwa mpo kuwanufaisha matajili na mmewapa Uhuru wa kufanya wanachotaka.
Sasa unatakataka tukutajirishe wewe halafu na sisi matajiri tuwe maskini?? Jamani kila mtu abaki kwenye position yake ieleweke hivyo
 
Usichojua ni kuwa kwa shehena iliyoshushwa siku za karibuni mafuta ilibidi yauzwe zaidi ya 3000 lakini baada kupunguza tozo bei imebaki palepale
Unapunguza tozo ya Tsh1.50 unaacha tozo zenye zaidi Tsh 1000 halafu unategemea kutakuwa na unafuu.
 
Ni zaidi ya wiki mbili nilimsikia waziri wa nishati ndugu Makamba akisema "eti" mama Samia amepunguza baadhi ya tozo kwenye petroli na dizeli ili kuleta ahueni kwa watumiaji, Sasa tangu aseme bei haijashuka hata senti.... wakati wa kupandisha huwa hamsubir kutangaza kwenye gazeti! Hivi hizi procedure za kikoloni tutaishi nazo hadi lini!! Nchi inatia hasira sana hii!!
Si mgome sasa! Watu mshakuwa tegemezi wana withdraw mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom