Hili suala la Benki kuweka wazi taarifa za fedha za mtu kwenye sakata la Mwanza limekaaje?

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
By Mtanzania digital

Kukamatwa fedha

Inaelezwa mmoja wa watuhumiwa aliyekutwa na Sh milioni 305, alishindwa kutoa maelezo ya kina kwa maofisa wa benki juu ya matumizi ya fedha hizo.

Kutokana na maelezo yake kusuasua, hali iliwafanya maofisa wa benki kumtilia shaka na kuamua kutoa taarifa kwa mkuu wa mkoa.

Inadaiwa maofisa wa benki walipomhoji mteja wao sababu za kuchukua fedha nyingi bila kuwa na barua, alidai anakwenda kununulia dhahabu na walimtaka kufuata taratibu alidai ana dharura.

Hata hivyo ilielezwa kuwa kabla ya kukabidhiwa kiasi hicho chs Sh milioni 305, tayari taarifa kwa mkuu wa mkoa na vyombo vingine ilikuwa imefikishwa na ufuatiliaji ulikuwa unaendelea hadi walipokamatwa eneo la Kivuko cha Busisi wilayani Sengerema.

=====

Maburungutu yale yalikuwa na nyuzi za CRDB kama sijakosea;

1. Kama mteja alipaswa kufuata taratibu fulani ili kuweza ku'withdraw' 305mil na hakuzifuata, kwanini bado aliruhusiwa ku'withdraw'?

2. Mteja alikuwa akitoa fedha zake mwenyewe kutoka kwenye account yake mwenyewe, kwanini bank iliingia wasiwasi? Wasiwasi ulikuwa wa nini?

3. Vipi kuhusu clause ya confidentiality/ usiri wa taarifa za mteja? Bank ilikuwa sawa kutoa taarifa zake kwa mamlaka? Tena bank kwa kupenda tu yenyewe ikaamua kuzitaarifu mamlaka?

Something fishy about this saga!
 
By Mtanzania digital

Kukamatwa fedha
Inaelezwa mmoja wa watuhumiwa aliyekutwa na Sh milioni 305, alishindwa kutoa maelezo ya kina kwa maofisa wa benki juu ya matumizi ya fedha hizo.
Kutokana na maelezo yake kusuasua, hali iliwafanya maofisa wa benki kumtilia shaka na kuamua kutoa kutoa taarifa kwa mkuu wa mkoa.
Inadaiwa maofisa wa benki walipomhoji mteja wao sababu za kuchukua fedha nyingi bila kuwa na barua, alidai anakwenda kununulia dhahabu na walimtaka kufuata taratibu alidai ana dharura.
Hata hivyo ilielezwa kuwa kabla ya kukabidhiwa kiasi hicho chs Sh milioni 305, tayari taarifa kwa mkuu wa mkoa na vyombo vingine ilikuwa imefikishwa na ufuatiliaji ulikuwa unaendelea hadi walipokamatwa eneo la Kivuko cha Busisi wilayani Sengerema.


Maburungutu yale yalikuwa na nyuzi za CRDB kama sijakosea;

1.kama mteja alipaswa kufuata taratibu fulani ili kuweza ku'withdraw' 305mil na hakuzifuata, kwanini bado aliruhusiwa ku'withdraw'?

2.Mteja alikuwa akitoa fedha zake mwenyewe kutoka kwenye account yake mwenyewe, kwanini bank iliingia wasiwasi?
Wasiwasi ulikua wa nini?

3.Vipi kuhisu clause ya confidentiality/ usiri wa taarifa za mteja?
Bank ilikuwa sawa kutoa taarifa zake kwa mamlaka?
Tena bank kwa kupenda tu yenyewe ikaamua kuzitaarifu mamlaka?

Something fishy about this saga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hapa Tz kuna professional bankers with banking ethics......wote wanatumika tu na Mamlaka hasa police, nilishawahi kuona benki inatoa benki statement ya mteja wao bila ithini ya mtaja kisa alioiomba ni CID police.... lazima utaratibu ufuate na mkataba tulio saini na Benki weshimike.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Technically benki haitakiwi kutenda hayo lakini only in Bongo haya yanatokea. Wangemzuia tu asichukue


Sent using Jamii Forums mobile app
hamna mkuu,benki nyingi duniani zinatoa taarifa za mteja kwa vyombo vya usalama inapobidi labda
Uhalifu gani?
Maana mtu ametoa fedha kwenye account yake kisha bank ikatoa taarifa kwenye mamlaka na mtu akakutwa na fedha alizotoa bank!

So, bank ilimtega?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani ukusikia hizo hela zilikuwa zinaenda wapi mkuu
 
By Mtanzania digital

Kukamatwa fedha
Inaelezwa mmoja wa watuhumiwa aliyekutwa na Sh milioni 305, alishindwa kutoa maelezo ya kina kwa maofisa wa benki juu ya matumizi ya fedha hizo.
Kutokana na maelezo yake kusuasua, hali iliwafanya maofisa wa benki kumtilia shaka na kuamua kutoa kutoa taarifa kwa mkuu wa mkoa.
Inadaiwa maofisa wa benki walipomhoji mteja wao sababu za kuchukua fedha nyingi bila kuwa na barua, alidai anakwenda kununulia dhahabu na walimtaka kufuata taratibu alidai ana dharura.
Hata hivyo ilielezwa kuwa kabla ya kukabidhiwa kiasi hicho chs Sh milioni 305, tayari taarifa kwa mkuu wa mkoa na vyombo vingine ilikuwa imefikishwa na ufuatiliaji ulikuwa unaendelea hadi walipokamatwa eneo la Kivuko cha Busisi wilayani Sengerema.


Maburungutu yale yalikuwa na nyuzi za CRDB kama sijakosea;

1.kama mteja alipaswa kufuata taratibu fulani ili kuweza ku'withdraw' 305mil na hakuzifuata, kwanini bado aliruhusiwa ku'withdraw'?

2.Mteja alikuwa akitoa fedha zake mwenyewe kutoka kwenye account yake mwenyewe, kwanini bank iliingia wasiwasi?
Wasiwasi ulikua wa nini?

3.Vipi kuhusu clause ya confidentiality/ usiri wa taarifa za mteja?
Bank ilikuwa sawa kutoa taarifa zake kwa mamlaka?
Tena bank kwa kupenda tu yenyewe ikaamua kuzitaarifu mamlaka?

Something fishy about this saga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na hiyo taarifa, account yangu ya CRDB sitaitumia tena kwa alili ya biashara zangu. Hii tabia ya kutoka siri za wateja, inaonekana wanayo siku nyingi.
Account yangu naenda kuifunga.
 
By Mtanzania digital

Kukamatwa fedha
Inaelezwa mmoja wa watuhumiwa aliyekutwa na Sh milioni 305, alishindwa kutoa maelezo ya kina kwa maofisa wa benki juu ya matumizi ya fedha hizo.
Kutokana na maelezo yake kusuasua, hali iliwafanya maofisa wa benki kumtilia shaka na kuamua kutoa kutoa taarifa kwa mkuu wa mkoa.
Inadaiwa maofisa wa benki walipomhoji mteja wao sababu za kuchukua fedha nyingi bila kuwa na barua, alidai anakwenda kununulia dhahabu na walimtaka kufuata taratibu alidai ana dharura.
Hata hivyo ilielezwa kuwa kabla ya kukabidhiwa kiasi hicho chs Sh milioni 305, tayari taarifa kwa mkuu wa mkoa na vyombo vingine ilikuwa imefikishwa na ufuatiliaji ulikuwa unaendelea hadi walipokamatwa eneo la Kivuko cha Busisi wilayani Sengerema.


Maburungutu yale yalikuwa na nyuzi za CRDB kama sijakosea;

1.kama mteja alipaswa kufuata taratibu fulani ili kuweza ku'withdraw' 305mil na hakuzifuata, kwanini bado aliruhusiwa ku'withdraw'?

2.Mteja alikuwa akitoa fedha zake mwenyewe kutoka kwenye account yake mwenyewe, kwanini bank iliingia wasiwasi?
Wasiwasi ulikua wa nini?

3.Vipi kuhusu clause ya confidentiality/ usiri wa taarifa za mteja?
Bank ilikuwa sawa kutoa taarifa zake kwa mamlaka?
Tena bank kwa kupenda tu yenyewe ikaamua kuzitaarifu mamlaka?

Something fishy about this saga!

Sent using Jamii Forums mobile app
What? Kama hii taarifa ni kweli daah,business wise wamekosea saana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom