TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,286
Kuchoka kila siku ndo nini???.......mimi kila siku huwa naambiwa "nimechoka" ndo maana hunipelekea kumtafuta akina Miss Natafuta huku JF!
Kwa sasa hili ni janga kubwa ktk ndoa mimi imenipelekea kuongeza mke wa pili