gambakuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 422
- 414
Wakuu wanajamvi habari za muda huu. Hivi karibuni nimekua nakutana na hiyo alama kwenye dashboard (!). Kwa wazoefu wa magari hiyo alama inamaanisha Nini na kama Kuna tahadhari Nini Cha kufanya.
Alama yenyewe imekuwa ikionekana Kila nikiwasha gari then inapotea baada ya sekunde chache. Kiufundi inamaanisha nini wakuu.
Naomba kuwasilisha
Ahsanteni Wana jamvi
Alama yenyewe imekuwa ikionekana Kila nikiwasha gari then inapotea baada ya sekunde chache. Kiufundi inamaanisha nini wakuu.
Naomba kuwasilisha
Ahsanteni Wana jamvi