ni hali ya kawaida maana haijafika wakati wa kuweza pata mshtuko katika mahusianonimeuliza kama ni normal thing au Nina tatizo kwenye hilo,,
ndo swali langu lilipo hapo
Ukijibiwa unishtuemkuu unataka kushauriwa uwe unaumia kisa mahusiano ama wataka ushauri waniniii?
Kwa hiyo unahitaji kuumia au...?
kashanijibuUkijibiwa unishtue
Kupenda kunakuja automatically, Itafika mda utapata mtu sahihidah bas itabid nijifunzi upya KUPENDA