Hili ni jiwe gani

Hili ni jiwe gani

na mimi kuna haya maua yanaota nyumbani kwangu sijui ni nini?
BR_CO-007.jpg
 
Aisee usilishike kabisa hii kitu inatoa mionzi hatari, tafuta karatasi lishike nenda kalitupe mahali pa kificho na hakikisha haoni mtu yeyote. Kisha ni pm inbox nitakusaidia jinsi ya kuondokana hicho kitu hatari!!
 
Hilo nadhani la dhahabu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni rangi ya dhahabu iliyosafishwa, dhahabu kama haijasafishwa ni ghafi, ina rangi chafu ya shaba nyekundu.
Sasa yeye kasema jiwe!
Na machimboni kuna kila aina ya matapeli wasiojali utu!
Hapo unawezakuta ni mtego mtu anase, wachimbaji wanaita malawi!
Jiwe la dhahabu si rangi yake hiyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom