MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Naona kwenye wajinga wengi wasio na elimu ndipo wakereketwa wa ccm walipojazanaChadema ni chama cha kupuuzwa siku zote
Kumbe na ww ni mzee,pia una kiwango kidogo cha elimu na kibaya zaidi upo kijijini hata umeme wa Rea haujakufikia. Hongera kwa kutufumbua kuwa ccm hupendwa na wale ambao hata Elimu ya Mekwa hawana.MTAKWEPA WEEE KWA MANENO YA KUJIFARIJI SANA; ILA MUWE MNASEMA UKWELI; WANANCHI WAMEWACHOKA SANA
View attachment 524617
Ha ha ha ha. Sasa waache waendelee kujidanganya kuwa 2020 watashika dola kiulaini.MTAKWEPA WEEE KWA MANENO YA KUJIFARIJI SANA; ILA MUWE MNASEMA UKWELI; WANANCHI WAMEWACHOKA SANA
View attachment 524617
Chadema wamezidiwa kila idara, mbowe na mashinji wanafanya kazi nzuri!MTAKWEPA WEEE KWA MANENO YA KUJIFARIJI SANA; ILA MUWE MNASEMA UKWELI; WANANCHI WAMEWACHOKA SANA
View attachment 524617
Na ukishindwa kuwawin hao elimu yako haikusaidi lolote. Soko la siasa ni watu, na kundi kubwa kwa taifa letu ni hilo. Be focused ni rahisi kuwateka mind zao. Cheza na matukio and short term plan. Period!Naona kwenye wajinga wengi wasio na elimu ndipo wakereketwa wa ccm walipojazana
Dah mi siasa hainipi kula na wala sipo kwenye siasa. Pole wewe ambaye siasa ndiyo maisha yakoNa ukishindwa kuwawin hao elimu yako haikusaidi lolote. Soko la siasa ni watu, na kundi kubwa kwa taifa letu ni hilo. Be focused ni rahisi kuwateka mind zao. Cheza na matukio and short term plan. Period!
Mbona Mimi cjahusishwa Kwenye huo mchakato
Mnategemea hivyo viripoti vya twaweza? Mmeishiwa isee! Kwanza wananchi si kwamba wanamkubali mkuu wa kaya, bali wanamuunga tu mkono na siyo CCM. Twaweza wanafanya tafiti za hovyo. Tena eti wanafanya tafit muda huu mkuu wa kaya anapambana na wezi wa madini, mbona hawakufanya hivyo before?Chadema wamezidiwa kila idara, mbowe na mashinji wanafanya kazi nzuri!
Ha ha ha ha. Sasa waache waendelee kujidanganya kuwa 2020 watashika dola kiulaini.