Hili linawezekanaje kwa walimu?

Hili linawezekanaje kwa walimu?

konda

Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
5
Reaction score
1
Waungwana; hivi hizi nyuzi zinazosambazwa kwenye mitandao yetu hii za kudai baadhi ya halmashauri zinaupungufu wa walimu. Kwaiyo wenye uhitaji wakupangiwa halmashauri hizo wafanye mawasiliano kwa wahusika, ili upangiwe halmashauri hiyo je? Ni kweli
Na inawezekana?
Mwenye uelewa juu ya hilo atupanguse tongo tongo
 
we umejuaje wakati muda mwingi upo kwenye daladala?

teh teh nakutania mkuu kutokana na id yako.
 
Mi mi mdau wa karibu wa Elimu, hilo suala ni tetesi tu halina ukweli wa moja kwa moja! Tusubiri muda ukifika tutaambiwa kupitia vyanzo sahihi baada ya kupata nyaraka kutoka kwa wadau wa ajira!
 
Back
Top Bottom