Inawezekana kwenu maana wote chama kimoja tangu enzi zileee, hamjawahi kuonja utamu wa utatofauti wa mawazo, mumelemazwa kwenye chama kimoja na masalio ya ujamaa aka umaskini.
Sawa, nasikia ,,democratic Kenya" sasa inaunda Katiba mpya tena, ili kukidhi matarajio ya Mwanasiasa xyz kuwa Raisi!
Naona alisikia jina referendum akajua hiyo lazima itakuwa ni katiba mpya.Katiba haiwezi kubadilishwa kukidhi mahitaji ya mtu mmoja, na pia hatukusema katiba yetu ni 100% kwamba haiwezi kuboreshwa zaidi, ni bora kwetu tunathubutu kuliko nyie ambao mumeganda nchi yote.