leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,767
- 1,703
Mh.Rais Kikwete mimi na watanzania wote ambao tuna elimu ya kufuatilia na kuyajua mambo haya ya uchumi tunakuomba chondechonde ingilia kati anguko hili la sarafu ya Tanzania,tunajua wewe kitaaluma ni mchumi tuna imani wewe na wataalamu wenzako serikalini mna uwezo wa kuigeuza hali hii isizidi kutuumiza.