Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
- Thread starter
- #121
To live your life.Nadhani watu wanatafuta mali kwa ajili ya Family Legacy mfano kina Rockefellers...
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
To live your life.Nadhani watu wanatafuta mali kwa ajili ya Family Legacy mfano kina Rockefellers...
Bezos na mkurugenzi mstaafu wa CIA.Kama kina gigy money
Find money and live your life first.Yeah, lakini kila kitu kina nafasi yake.
Kuna mmoja alikua mpambanaji hasaa ila tatizo alikua HIV +VE..!!!Mkuu una akili sana...kuna wanawake ni wapambanaji na wanafaa kuwa wake bora sema ndo hivyo unakuta mwamba asiyetambua thamani yake kashamwaribia maisha
Na yeye alikuwa anakufuru kastuka. Nakushangaa wewe ambae mpaka sasa hujastuka kukufuru.Wanawake banaa...
Kwahiyo vile namtongoza namtafutia kazi hakuona ukafiri wangu...
Ila kwakua Sasa anakazi na mshahara kwa nguvu zangu ndio anauona ukafiri wangu... Mkiwaga na shida akili zinawatokaga au?
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1672999/
HEBU NIPE JIBU HII POST NILIYO ATTACH.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Bado nipo mbioni maana maisha ninayoyaota ni financial freedom yaani nipate pesa za kusaidia ndugu zangu na kujisaidia mwenyewe za kutosha ila familiya pia ni muhimu kwa mwanaume...we pata familiya hata kama huna hela afu endelea kupambana kuzitafuta,hicho hicho kilichopo mgawane wazee ndo walisema hayoMaisha yanaanza na wewe..
Ishi kwanza wewe.
Sasa we unawatafutia watu hela sijui wasome na wale na waishi maisha bora.
JE WEWE UMEISHI YALE MAISHA ULIYOYAOTA?
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Miaka 30,afu unamwambia umri bado mdogo?? You are not serious at allWafu hawana uwezo wa kuona wala kutenda mtu akifa ndo kaenda mazima mpaka kristo atakaporudi ndipo parapanda italia na makaburi ya walio mema yatafunguliwa.
Pili kuhusu kuoa: suala hili lilikuwa na umuhimu zamani kwa sasa ni kupoteza muda na rasilimali madada wanaingia kwenye ndoa kama kitega uchumi japo sio wote akishaona mali zimekuwa nyingi wanaachika ili mgawane 50 / 50 kisheria
ushauri wangu: tafuta pesa wekeza sana achana na ndoa kwanza umri wako bado mdogo tafuta pesa wekeza sana achana na wanawake
Hujanielewa hebu soma hii post...Aisee unaonekana una moyo mdogo sana, sasa kumtafutia kazi tu hivyo unalalamikaa (sijui mshahara kwa nguvu zako wakati kazi anafanya yeye),je ungemsomesha? Wahenga wanasema "tenda wema nenda zako usingoje shukurani"
Amen.Kama hutaki kuoa, huna wa kuoa, na huna sababu ya kuoa then haiwezi kukusumbua usipooa unless unataka kuwa na mpenzi serious mfikie ndoa ila mazingira yanakufanya ujiaminishe vinginevyo.
HahahahKuna mmoja alikua mpambanaji hasaa ila tatizo alikua HIV +VE..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Ndoa ya uke mwenza imemshinda..Na yeye alikuwa anakufuru kastuka. Nakushangaa wewe ambae mpaka sasa hujastuka kukufuru.
Ngoja kwanza Nile bata niishi raha zangu.Bado nipo mbioni maana maisha ninayoyaota ni financial freedom yaani nipate pesa za kusaidia ndugu zangu na kujisaidia mwenyewe za kutosha ila familiya pia ni muhimu kwa mwanaume...we pata familiya hata kama huna hela afu endelea kupambana kuzitafuta,hicho hicho kilichopo mgawane wazee ndo walisema hayo
Hata Mimi nimeshangaa..Miaka 30,afu unamwambia umri bado mdogo?? You are not serious at all
Huyu dada nilimuelewa balaaa..Hahahah
AmenUSIOE, tafuta watoto utumie nao mali zako ulizotafuta.
HUTAJUTIA HILO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio utajua waliosema simba akizidiwa hula hata nyasi walimaanisha nini. Kifupi ni kwamba hakukupenda sema alikuwa anashida na akaona wewe uko tayar kumsaidia bila kujali dini wala kabila lako akaomba msaada. So next time be carefulHujanielewa hebu soma hii post...
Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu - JamiiForums
Kifupi yeye kwasasa ndio alinitafuta ila mi MKE WA MTU SUMU SIMTAKI.
Ila swali ambalo huwa najiuliza na ambalo nimeuliza..
Wakati namtongoza akiwa hana kazi... Ananiletea story za kumuoa akiwa hana kazi... Ananiletea shida zake akiwa hana kazi....
ALIVYOPATA KAZI HAYA MAWAZO YALIENDA WAPI?
Ndio nimeuuliza..
KWANI WANAWAKE MKIWA MNASHIDA HUWA MNAWAZIA NINI?
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Kama alizaliwa nao haina shida sio kosa lake na unaweza kuwa nae tu maana usipozaa nae wewe nani mwingine atampa hata katoto...tena usingejutia huyo hachepuki zaidi yako wewe na ungepata maendeleo makubwaHuyu dada nilimuelewa balaaa..
Ningekua na uwezo na technologia ingekuwepo angepona hii HIV..!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!