Hili la TFDA je?

Hili la TFDA je?

rayman m

Senior Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
120
Reaction score
27
Wadau vipi hili la TFDA nalo limesahaulika ni zaid ya mwezi tangu watangaze ajira ila hadi sasa kimya. Ni ombe mwongozo kwa mwenye clue kuhusu hili.
 
Kuna mdogo wangu nakaa nae nyumbani nae aliapply hizi post, sijajua kama wameshaita au vipi, labda kama kuna wadau wenye idea kuhusu hili waje kutupa taarifa.
 
Dr. Wansegamila wameshaanza kuita, vipi mdogo wako kaitwa?
hajaitwa, wewe umeitwa for which position? na interview ni lini?? Dogo yeye aliapply ile nafasi ambayo ilitangazwa peke yake ya drug registration officer(ambalo lilitoka kama wiki moja baada ya lile la kwanza ambalo walitangaza post nyingi nyingi)
 
Last edited by a moderator:
hajaitwa, wewe umeitwa for which position? na interview ni lini?? Dogo yeye aliapply ile nafasi ambayo ilitangazwa peke yake ya drug registration officer(ambalo lilitoka kama wiki moja baada ya lile la kwanza ambalo walitangaza post nyingi nyingi)

Ooh okey. Mi niliapply Food Registration.. Interview tarehe 24, but asiwe mbali na simu nadhani zote zitafanyika wakati mmoja
 
watakua wamenila kichwa mkuu maana cjaitwa nackia watu wameitwa ijumaa na jumamosi. labuda kama kuna mutu mwenye taarifa kwamba wameendelea kuita jana jpili na leo j3 atupe tumaini.

Endelea kuvuta subira Mkuu, huwenda bado wanaita. Mi pia kuna rafiki zangu wawili tuliomba post moja bado hawajapigiwa simu
 
Posts za accountant washaita jaman??? dah mbona naona dalili mbaya
 
Hata mm jana nimeitwa post ya Accountant tarehe 24/jan interview DUCE saa 08:30 asubuhi:confused3:
 
Back
Top Bottom