cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Baadhi ya mameneja katika matawi mbalimbali ya NMB nchini wameanza vikao na wastafu tarajiwa
Mameneja hao wanasema makao makuu wamewaagiza kukubaliana na wanaoenda kustafu kuwa
"Wastafu tarajali wanaombwa kuacha kuchukua hela zao zote za mafao badala yake waingie mkataba wabakize shilingi million 60 kwenye account zao ambapo kila mwezi wastafu watakuwa wanapewa shilingi laki 3 kwa kila mwezi kama riba kutoka NMB
Wanaendelea kusema mstaafu kujitoa au kuvunja mkataba ni muda wowote
Je mnakubaliana na hili la NMB kwa wastafu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mameneja hao wanasema makao makuu wamewaagiza kukubaliana na wanaoenda kustafu kuwa
"Wastafu tarajali wanaombwa kuacha kuchukua hela zao zote za mafao badala yake waingie mkataba wabakize shilingi million 60 kwenye account zao ambapo kila mwezi wastafu watakuwa wanapewa shilingi laki 3 kwa kila mwezi kama riba kutoka NMB
Wanaendelea kusema mstaafu kujitoa au kuvunja mkataba ni muda wowote
Je mnakubaliana na hili la NMB kwa wastafu?
Sent using Jamii Forums mobile app