Hili la maiti kulipishwa madeni Hospitali za Serikali limekaaje?

yaan kumpeleka mgonjwa wako pale ni bora umpeleke kwa mganga wa mitishamba anaweza pona, sisi wenyewe marehemu alikuwa hataki kabisa tumpeleke pale
 
yaan hospital za serikali mnaweza kuuza Nyumba kugomboa maiti kwasasa
Kweli kabisa, halafu bado waziri husika anasema huduma zimeboreshwa na bei ni rafiki kwa watanzania lakni mambo ni kinyume chake. Ila kwenye wataalamu bado napata mashaka makubwa sana huwenda wanafunzi wa intern wanaaminiwa kufanya majaribio kwenye miili ya waatu ambapo naona sio sawa.

Naomba mjaribu kulifuatilia hilo hapo mloganzila.
 
Ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa kulinganisha BINAADAMU na GARI.

Gari likiharibika linatengenezwa kwa kubadilisha spea. Binaadamu akiumwa=kuharibika HAKUNA SPEA ya kubadilisha ili utoe iloharibika. Binaadamu tunarepair spea hizohizo alizonazo. Sasa kama hizo spea zikishindwa kutengemaa ndo basi tena.

Fundi gari akiona hii gari haiwezi pona basi anachukua spea zake ambazo alikuwa kashaziweka tayari kwa hiyo hana cha kupoteza labda muda wake tuu. Then wewe unabaki na mkweche wako wa gari.

Binaadamu akiumwa anafanyiwa vipimo, anatumia na dawa za hospitali. Akifa huwezi sema hivi vipimo tulivyomfanyia tunavirudisha. Wala dawa alizotumia huwezi kuzitoa mwilini mwake na uendelee kuzitumia kwa mgonjwa mwingine.

KULIPIA NDIO SOLUTION PEKEE.


Kwa hiyo mkuu usifananishe mwili wa binaadamu na gari. Unakosea sana. Ni vitu viwili visivyoendana kabisa.

Unforgetable
 
hapafai pale, wapo kipesa zaidi,
Umeombwa mchanganuo wa gharama umeshindwa kuuleta lakini stil unabwabwaja tuu pale hapafai, pale hapafai, pale hapafai.


Package ya gharama MNH,MLOGANZILA,MOI,JKCI ni moja. Labda ungelalamikia huduma mbovu hapo ungeeleweka kidogo, lkn kwa hili la gharama umepotea njia, tena huenda gharama za hapo mloganzila ziko chini kdg.

Unforgetable
 
yaan kumpeleka mgonjwa wako pale ni bora umpeleke kwa mganga wa mitishamba anaweza pona, sisi wenyewe marehemu alikuwa hataki kabisa tumpeleke pale
Na ni kweli watu wa bagamoyo kwa mitishamba hamjambo. Mnaendaga hospitali too late baada ya kuhangaika huko na huko na kushindwa ndipo mnaenda hospitali.


Unforgetable
 
yaan hospital za serikali mnaweza kuuza Nyumba kugomboa maiti kwasasa
Dada nlikuwa nakuona mtu mwenye akili kumbe zero kabisa.

Kwamba hospitali za serikali mnaweza kuuza nyumba kukomboa maiti?. Like seriously? Are you sane?

Naomba nikuulize swali dogo tuu, kwa nini msilipie gharama za matibabu kabla hajapatiwa huduma? Kwa nini msubiri mpaka wakati wa kuruhusiwa au mpaka afariki ndipo muanze kujenga picha ya kulipishwa maiti wakati kiuhalisia mnalipia huduma alizotumia ndugu yenu kabla hajafa?.

Unforgetable
 
Samahani ndugu ,mimi nilikuwa naongelea gharama za matibabu, siyo umaskini wa watanzania. Laki saba ni gharama ndogo sana kwa huduma husika kwa mgonjwa husika, kumbuka siyo kwa wagonjwa wote na huduma yoyote. Naongelea mgonjwa husika. Kodi ina kazi zake, huduma za afya kwa sehemu kubwa zinaendeshwa na michango ya wahisani na uchangiaji kutoka kwa wananchi na ruzuku kidogo ya serikali(kodi). Na vya kwanza viwili ndio vinachukua zaidi ya 95% ya gharama. Swala hapa ni kupambana kuondoa umaskini na kuongeza kipato ili watu waweze kuchangia huduma. Tujiunge na bima za afya
 

Safi.

......... Subiri yakukute.
 
mnapenda sana kulalamika...hivi vifaa vlivyotumika toka mzee wetu kafika hospitali mpaka mauti yakamkuta analipia nani?aliyemhudumia mnadhani mshahara wake unatoka wapi?hata kama ni mtumishi wa serikali hamjui hizi pesa mwisho wa siku zinamlipa mshahara?tukate bima jamani hata kama sio nhif basi hata chf iliyoboreshwa.....30000 watu kumi kweli inatushindwa kwa mwaka???apumzike kwa amani mzee wetu
 
Sasa rafik Angu Mina Cute ulitaka sisi tupate wapi hela za kununulia Ndege!!???...πŸ˜ŒπŸ™„
 

Serikali imeshaacha kupeleka ruzuku mahospitalini toka Jiwe akamate nchi... Hospital zinajiendesha
 
katafute bwana kaka, hasira zako usiniletee mimi, maana mkiachwa mnakuwa kama vichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…