yaan kumpeleka mgonjwa wako pale ni bora umpeleke kwa mganga wa mitishamba anaweza pona, sisi wenyewe marehemu alikuwa hataki kabisa tumpeleke paleMloganzila ni mbaya kuliko popote duanian nilienda kufanya vipimo mwaka Jana hivi nikalipa gharama zote mwisho wakanishangaza kusomewa majibu hela nikamwambia nipen Basi ntajua mwenyewe mbele wakagoma mpaka nilipe na hapo nimesafir Kutoka katav mpaka hapo kwa matibabu tu nikaona isiwe kesi nikamwambia mhusika uzur hata wewe utaumwa na utakufa baki na majibu nikaondoka kurud katav Ila Mungu mwema sana sijawah tumia dawa yeyote Ila najihis nimepona kabisa maumivu hayapo kabisa
Ila I wish wenye kuweka hizo Sera sijui sheria wangekufa wote tu hapo tuqmze upya
Mloganzila ni kituo cha upigaji wafe na Sera zao
Kweli kabisa, halafu bado waziri husika anasema huduma zimeboreshwa na bei ni rafiki kwa watanzania lakni mambo ni kinyume chake. Ila kwenye wataalamu bado napata mashaka makubwa sana huwenda wanafunzi wa intern wanaaminiwa kufanya majaribio kwenye miili ya waatu ambapo naona sio sawa.yaan hospital za serikali mnaweza kuuza Nyumba kugomboa maiti kwasasa
Ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa kulinganisha BINAADAMU na GARI.Ww acha hizo maana ya kulipa si kwamba mgonjwa apone mmeshindwa kumtibu mgonjwa kafa mnadai hela ya nn ww mfano umepeleka gari geleji limeshindwa kutengemaa utatoa pesa hata km fundi alitumia gharama ...Hapo tunaomba tu serikali iangalie namna ya kufanya maaana Afya ya watanzania ni muhim kwa taifa letu
Umeombwa mchanganuo wa gharama umeshindwa kuuleta lakini stil unabwabwaja tuu pale hapafai, pale hapafai, pale hapafai.hapafai pale, wapo kipesa zaidi,
Na ni kweli watu wa bagamoyo kwa mitishamba hamjambo. Mnaendaga hospitali too late baada ya kuhangaika huko na huko na kushindwa ndipo mnaenda hospitali.yaan kumpeleka mgonjwa wako pale ni bora umpeleke kwa mganga wa mitishamba anaweza pona, sisi wenyewe marehemu alikuwa hataki kabisa tumpeleke pale
Dada nlikuwa nakuona mtu mwenye akili kumbe zero kabisa.yaan hospital za serikali mnaweza kuuza Nyumba kugomboa maiti kwasasa
Samahani ndugu ,mimi nilikuwa naongelea gharama za matibabu, siyo umaskini wa watanzania. Laki saba ni gharama ndogo sana kwa huduma husika kwa mgonjwa husika, kumbuka siyo kwa wagonjwa wote na huduma yoyote. Naongelea mgonjwa husika. Kodi ina kazi zake, huduma za afya kwa sehemu kubwa zinaendeshwa na michango ya wahisani na uchangiaji kutoka kwa wananchi na ruzuku kidogo ya serikali(kodi). Na vya kwanza viwili ndio vinachukua zaidi ya 95% ya gharama. Swala hapa ni kupambana kuondoa umaskini na kuongeza kipato ili watu waweze kuchangia huduma. Tujiunge na bima za afyaHuduma zikosekane serikali ikiwa wapi, watu kila siku wanalipa kodi.
..........Laki saba ni gharama ndogo? Hivi unajua kuna mtu hawezi hata kupata Milo mitatu kwa siku na akiumwa anatakiwa apate matibabu mtu wa aina hiyo ataweza kulipa laki saba kweli?
Samahani ndugu ,mimi nilikuwa naongelea gharama za matibabu, siyo umaskini wa watanzania. Laki saba ni gharama ndogo sana kwa huduma husika kwa mgonjwa husika, kumbuka siyo kwa wagonjwa wote na huduma yoyote. Naongelea mgonjwa husika. Kodi ina kazi zake, huduma za afya kwa sehemu kubwa zinaendeshwa na michango ya wahisani na uchangiaji kutoka kwa wananchi na ruzuku kidogo ya serikali(kodi). Na vya kwanza viwili ndio vinachukua zaidi ya 95% ya gharama. Swala hapa ni kupambana kuondoa umaskini na kuongeza kipato ili watu waweze kuchangia huduma. Tujiunge na bima za afya
kutakuwa na shida na hao madaktari hapo, operation ya hernia kuondoa mtu ni ngumu sana napata mashaka na wataalamu wa hapo.
Sasa rafik Angu Mina Cute ulitaka sisi tupate wapi hela za kununulia Ndege!!???...ππHabarini wapendwa,
Wiki hii mzee wetu alikuwa anaumwa Hernia, tarehe 07/11/2019 tukampeleka Mloganzila hospital akitokea hospitali ya Bagamoyo, kufika kule usiku akafanyiwa upasuaji, saa kumi alfajiri akafariki. Sasa tarehe 08/11/2019 tukaenda ili kuchukua mwili wa marehemu akazikwe.
Kufika pale tunaambiwa marehemu anadaiwa jumla ni Tsh 775,000/= tukalalamika mbona hela nyingi hivyo, wakatuambia nendeni ustawi wa jamii labda wanaweza kuwasaidia mkilalamika kuwa hamna uwezo, kwenda kule tukaambiwa kuwa hata iko kiasi mlichotajiwa kapewa punguzo sababu katokea hospitali ya Serikali kuja hapa, kukosa hivyo ingekuwa mara mbili yake.
Tukasema sawa, ndugu wakachangishana ikafika laki sita na ishirini, kuipeleka kule bado wakagoma, wakasema hadi hela itimie yote isipungue hata mia ndo maiti itatoka, basi tukapigia simu watu baki kuwakopa hela ikatimia tukaenda kupeleka tukapewa mwili wa marehemu. Sasa najiuliza hivi huu utaratibu wa kudai maiti ni haki kweli? Mtu amekufa bado mnamdai, sio laana kweli.
Kuna wapemba tumewakuta wanadaiwa milioni tatu za maiti wao, wameshauriana waende wakafanye kisomo cha kuswalia maiti pale hospitali, wakimaliza waondoke mwili wauache pale pale Mloganzila, wao wataisabu kama ndugu yao amekufia baharini na maiti haikupatikana kuliko kulipa hela hiyo.
Hii ni kweli jamani wala sio jambo la kutunga, marehemu katuachia madeni.
Zaidi, soma:
Waziri Ummy Mwalimu, hili la kuzuia maiti ni unajisi wa mila zetu za kiafrika. Litazameni vizuri
Kwa muda sasa watu wamepaza sauti kuhusu mamlaka za taasisi zinazotoa tiba za kisasa-hospital na zahanati kuzuia wafiwa kuchukua miili za wapendwa wao mpaka walipie gharama za matibabu. Mantiki yake haieleweweki na wala haikubaiki kwa mila zetu sisi waafrika. Haikubaliki pia kwa wafrika...www.jamiiforums.com
Tumia akili, tunazungumzia bill/malipo ya gharama za matibabu. Hatuzungumzii kifo kenge weweBima hakuzuii kufa kenge wewe
Ha ha ha kwahiyo wewe ulipofeli shule hukulipa Ada? ππUnadhan wote wana uwezo wa kukata bimπ!
Mifano yako ni bia tu wwπ€£ππ
Huduma zikosekane serikali ikiwa wapi, watu kila siku wanalipa kodi.
..........Laki saba ni gharama ndogo? Hivi unajua kuna mtu hawezi hata kupata Milo mitatu kwa siku na akiumwa anatakiwa apate matibabu mtu wa aina hiyo ataweza kulipa laki saba kweli?
Pole sana mkuu kwa kufiwawamfufue wamdai, yaan umepeleka gari gereji haijapona halafu umlipe fundi
π π !sikujibu!Ha ha ha kwahiyo wewe ulipofeli shule hukulipa Ada? ππ
katafute bwana kaka, hasira zako usiniletee mimi, maana mkiachwa mnakuwa kama vichaaUmeombwa mchanganuo wa gharama umeshindwa kuuleta lakini stil unabwabwaja tuu pale hapafai, pale hapafai, pale hapafai.
Package ya gharama MNH,MLOGANZILA,MOI,JKCI ni moja. Labda ungelalamikia huduma mbovu hapo ungeeleweka kidogo, lkn kwa hili la gharama umepotea njia, tena huenda gharama za hapo mloganzila ziko chini kdg.
Unforgetable
Sifikirii kama kuanzia 100alikuwa ana miaka 55, labda awe na umri kuanzia miaka 100