ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Hii inashangaza sana, Serikali ilichukulie kundi hili sasa ni hatari maana hawa watu wanaishi vipi ikiwa siku mojamoja tu ndio huenda kufanya uonevu kwa raia pengine wenye haki kabisa ya ardhi au eneo fulani?
Tukuombe Mheshimiwa Makonda baada ya ombaomba uwageukie hawa mabaunsa wamejaa mjini na nguvu zao kumbe serikali ingewatumia hata kwenye mashamba ya miwa huko Kilombero na Kagera hasa kipindi hiki cha uhaba wa sukari.
Nimesikitika kuona leo wamevunja nyumba za wanakijiji huko Pugu na familia zile zimebaki nje ati wanatetea ardhi ya mwekezaji. Jamani tafuteni shughuli zingine za kufanya!
Tukuombe Mheshimiwa Makonda baada ya ombaomba uwageukie hawa mabaunsa wamejaa mjini na nguvu zao kumbe serikali ingewatumia hata kwenye mashamba ya miwa huko Kilombero na Kagera hasa kipindi hiki cha uhaba wa sukari.
Nimesikitika kuona leo wamevunja nyumba za wanakijiji huko Pugu na familia zile zimebaki nje ati wanatetea ardhi ya mwekezaji. Jamani tafuteni shughuli zingine za kufanya!