Hili la ajira za US Embassy kunani?

Hili la ajira za US Embassy kunani?

Davion Delmonte Jr.

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
2,149
Reaction score
1,720
Ki ukweli hawa jamaa nawatamanigi sana maana si mnajua tena status ya nchi yenyewe.

Ila kimbembe sasa wakitangazaga nafasi zao. Tangazo ni refu hilo makorokocho kibao halafu na procedures za kuapply zimekaa kushoto. Yaani Kuna maform ya ajabu ajabu mengi ya kujaza mpaka mtu unakata tamaa.

Hapo vip wakuu, soko la ajira us embassy pale mnalichukulia vip? Maana mi siwaelewi kabisa wazungu hawa.
 
Hawa jamaa ni shider ile miform mpaka uijaze utume nadhani wanachukuaga ndugu za wazungu wennzao. Ajabu hata kenya kazi zao unatuma email coverletter na cv tuu.
 
Hapana wakuu jamaa wako vizuri saana aisee muhimu wewe jaza fom vizuri
 
Weka hapa nafasi za kazi wenzako nao wapate unakuja sikuya deadline ..mmh
 
Shida yetu Watanzania ni kutosoma instructions na kufuata. Kila mahali uendapo kuna policies na procedures ambazo you have to adhere to. US Embassy has some of the most stringent procedures in terms of employment and immigration in order to ensure that only the deserving people get through. Ninajua watu watatu wako US Embassy mmoja upande wa USAID ambao walipitia hizi applications na wakaitwa interview na kupata kazi. Kama kweli uko serious na unafikia vigezo vyote, go for it. Complaining in JamiiForums will not make the US Embassy change its regulations, nor will it secure you a job. In my honest opinion bruh 🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom