hili jino linataka kunitia majaribuni

hili jino linataka kunitia majaribuni

Miss Neddy

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2013
Posts
14,684
Reaction score
8,754
saluuuuuuuuuuuuuuuuuti

heshima kwenu wadau kwanza niwape pole na uchovu wa xmas

back to the topic wakuuu mwezenu naumwa jino mpaka limenibadilisha sura nimenona upande mmoja yaaani xmas yote nimelia ndani
sasa kuna shemeji yenu anaishi mkoani xmas hii alikuja kwa ajili yangu lakini tulishindwa kuonana kutokana na hili tatizo ikabidi arudi zake mkoani kwa hasira maana nilimwambia naumwa but sikumwambia kama ni jino

jamani naomba mnisaidie dawa gani nitumie kupunguza uvimbe angalau mwaka mpya mungu akijalia nile kwa amani

pleaseeeee nahitaji dawa angalau ya kupunguza uvimbe na sio ushauri wa kung'oa kwa sababu jino ni la mbele siwezi kung'oa

mungu awabariki
 
Nenda kwa daktari mkuu,jitahd umcheki mtaalam,ww toka cricmas ungekua umemuona dk ungekua ushapata ufumbuz umekaa tu ndan,weka aibu pemben,toka na uso wako uliovimba uende kwa dkt
 
Nenda kwa daktari mkuu,jitahd umcheki mtaalam,ww toka cricmas ungekua umemuona dk ungekua ushapata ufumbuz umekaa tu ndan,weka aibu pemben,toka na uso wako uliovimba uende kwa dkt


ahsante nitajitahidi
 
Tumia nyundo ama ulizamishe kama nchumali au lichomoe kama nchale. Unaishi karne gani ati?
 
saluuuuuuuuuuuuuuuuuti

heshima kwenu wadau kwanza niwape pole na uchovu wa xmas

back to the topic wakuuu mwezenu naumwa jino mpaka limenibadilisha sura nimenona upande mmoja yaaani xmas yote nimelia ndani
sasa kuna shemeji yenu anaishi mkoani xmas hii alikuja kwa ajili yangu lakini tulishindwa kuonana kutokana na hili tatizo ikabidi arudi zake mkoani kwa hasira maana nilimwambia naumwa but sikumwambia kama ni jino

jamani naomba mnisaidie dawa gani nitumie kupunguza uvimbe angalau mwaka mpya mungu akijalia nile kwa amani

pleaseeeee nahitaji dawa angalau ya kupunguza uvimbe na sio ushauri wa kung'oa kwa sababu jino ni la mbele siwezi kung'oa

mungu awabariki

mtafute kaseba akupige ngumi halafu hiyo hela ya dawa ujipoozee na chochote..
 
Muone dr wa meno hilo jino litapata ufumbuzi kwani hawawezi kuling'oa likiwa limevimba lazima utibiwe uvimbe kwanza. Wengi hutumia antibiotic lkn mpaka uandikiwe na dr . Hilo jino linaonyesha lina infection. Nenda muhimbili au hindu mandal au hospt zingine nyingi tu na kwa siku chache ukianza kutumia dawa utaona mabadiliko.
 
Shemeji huwa haingii JF? Jana mm nimeng'oa la juu linalosaga......ng'oa tu utaweka la bandia
 
Tare22 kabla ya christmass nimeng'oa lakwangu ambalo nigego liliniuma sana mkuu atakuangalia cm kama wewe jf nafkiri sikuona kama kuna anaeweza kunishauri tofauti na kuling'oa,kwaiyo minaona bado alijakuuma vizuri kiasi cha kutoka usaha maskioni,sina mengi nakushaur muone daktari kwaushauri mzuri
 
Muone dr wa meno hilo jino litapata ufumbuzi kwani hawawezi kuling'oa likiwa limevimba lazima utibiwe uvimbe kwanza. Wengi hutumia antibiotic lkn mpaka uandikiwe na dr . Hilo jino linaonyesha lina infection. Nenda muhimbili au hindu mandal au hospt zingine nyingi tu na kwa siku chache ukianza kutumia dawa utaona mabadiliko.

ohoooo ubarikiwe kwa ushauri wako
 
Shemeji huwa haingii JF? Jana mm nimeng'oa la juu linalosaga......ng'oa tu utaweka la bandia

anaingia sana ila hajui id yangu me ndo najua yake anyway ntafanyia kazi ushauri wako ahsante
 
Tare22 kabla ya christmass nimeng'oa lakwangu ambalo nigego liliniuma sana mkuu atakuangalia cm kama wewe jf nafkiri sikuona kama kuna anaeweza kunishauri tofauti na kuling'oa,kwaiyo minaona bado alijakuuma vizuri kiasi cha kutoka usaha maskioni,sina mengi nakushaur muone daktari kwaushauri mzuri

tatizo liko mbele mkuuu litaniharibia show nikiling'oa
 
a. Sababu ya kwanza na ya msingi ni kuwa Mzee JM ni kiongozi aliyeshindwa. Hakuna kiongozi mwingine yeyote katika historia ya Jamhuri yetu ambaye ameshindwa kiuongozi kuliko Mzee JM. Katika muda wake wote wa uongozi akiwa ameshika nafasi nyingi sijui ni kitu gani alichokifanya (na watu wakakiona) na kuacha alama nzuri ya kukumbukwa. Hapa sizungumzii mambo yanayofanywa kwa siri au nyuma ya Pazia. Hivi ukimuuliza Mtanzania wa kawaida akuambie ni kitu gani alichokifanya Malecela ambacho Taifa litamkumbuka kwacho (zaidi ya nafasi za uongozi na kugombea nafasi Urais) ni nini atakutajia? Ukiwauliza watu hivi Mrema alifanya nini, Mwinyi alifanya nini? Warioba alifanya nini, au Kawawa, Salim etc kuna vitu kadha wa kadha ambavyo vitawajia kichwani. Labda wananchi wa Mtera wanaweza kutupa majibu

b. Alishindwa kuitetea Ilani ya CCM na sera ya CCM juu ya Muungano ilipoibuka mwanzoni mwa miaka ya 1990. Kama kuna kitu ambacho kimetia doa kubwa la kiuongozi dhidi ya Bw. Malecela ni kushindwa kwake kuizuia hoja ya Tanganyika kujadiliwa Bungeni yeye akiwa ni Waziri Mkuu. Kama kuna kitu ambacho kitamfuata mpaka kaburini ni jinsi gani alishindwa kabisa kutetea msimamo wake huo dhidi ya mashambulizi yaliyoongozwa na Mwalimu. Kama ni mtu mwenye msimamo basi wakati ule ndipo angeonyesha uwezo wake wa kutetea hoja (kumbukua alikuwa na wabunge 55 nyuma yake). Hoja ya Mwalimu ilikuwa ni kama anayoitoa Mhe. Mzee Es hapa, kuwa ni lazima kufuata Katiba ya Chama na Ilani ya Chama, na kitu kingine nje ya hicho ni uzandiki na usaliti. Sera na Ilani ya CCM ni kuwa na Serikali Mbili. Kitendo cha Mhe. Malecela kuruhusu wabunge wa CCM kujadili serikali tatu kilikuwa kisichosameheka! Hayo yote yalisababishwa na kuthubutu kwa Zanzibar kujiunga na ile Jumuiya ya nchi za Kiislamu. Badala ya kuvunja hoja na kuweka msimamo wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. Malecela akaungana na Wabunge wengine wa bara (kundi 55) kudai "Tanganyika yao".

c. Mzee JM hana jipya. Licha ya madai ya kuwa Mzee huyo anaheshimika sana ndani ya Chama, inaonekana bila ya shaka yoyote, mvuto na heshima hiyo ni hewa. Ameshindwa kujitetea kikamilifu au kujenga hoja zinazoonyesha msimamo wake zaidi ya kukaa chini na kuendelea kupigwa ngumi kulia na kushoto na watu ambao wanaendelea kuimba sifa zake lakini pembeni wanaendelea kumbomoa kisiasa. Baada ya varangati la IOC, Muungano, madai ya Mwalimu dhidi yake, kuenguliwa hatua za mwanzoni, Mzee JM anaendelea kuamini (au kuna watu wanamtaka aamini..) kuwa ana mvuto mkubwa na nguvu kubwa katika Chama. Ukweli ni kuwa Mzee JM hana nguvu hizo isipokuwa ana heshima ya kusikilizwa tu!

d. Amefanya kila aliloweza ndani ya ubinadamu wake kukitumikia chama na Taifa. Ni wakati umefika wa kumuachia mtu mwenye mawazo mapya na nguvu mpya kuungana na timu mpya ya Kikwete katika kutelekeleza majukumu ya chama. Ni kweli alitaka kujiengua huko nyuma lakini "akabembelezwa" akaamua kubakia. Kuna watu ambao wanamfanya aamini kuwa bila yeye CCM itayumba. CCM ni zaidi ya Malecela, Mkapa, RA, EL, EN etc. Itakuwa ni kitendo cha kimahiri na cha kisiasa kuachia umakamu kwani atakaa pembeni na kuona jinsi gani CCM itajaza nafasi hiyo. Sitaki Mzee JM awe kama mzee aliyezoea kusimamia watoto wake kwa kila kitu hadi wamekuwa na nyumba zao lakini bado anaendelea kuendesha maisha yao. Hadi siku mzee huyo anakaribia kufa anabakia kujiuliza kama aliwaandaa watoto kuishi pamoja vizuri. Mzee JM asije akabakia kujiuliza hivi kweli nikiondoka itakuwaje kwenye CCM. Atafanya kitendo cha Kimapinduzi akiamua kung'atuka na kuwaachia kizazi kipya (siyo lazima wawe vijana) kuanza kushika hatamu za uongozi wa Chama.

Ni kwa sababu hizo nne, ninasema kuwa, Mzee JM aamue kustaafu kwa manufaa yake binafsi na kwa ajili ya kukipa Chama nafasi ya kujaza nafasi hiyo kwa wakati mmoja na ile ya Uenyekiti. Atajifanyia mwenye fadhila na familia yake. Anaweza kuendelea kuwa Mbunge wa Mtera na kumaliza kipindi chake lakini hana sababu yoyote ya msingi ya kuendelea kuwa M/Mwenyekiti wa CCM (Bara). Aanze kupumzika kabla baiolojia haijamlazimisha.

Ukipata nafuu,tumia dfp dawa ya meno na mouth wash,huttasikia kwa bomba maumivu ya jino
 
Jino lina uhusiano na papuchi?dawa ya jino ni kung'oa lakini mengine ni ya kuziba tu.
 
Hujaumwa jino wewe bado,likichachamaa utaitafuta hospitali..

Dawa ya jino ni kung'oa..pole sana

Labda jf dokta wangeweza kukusaidia
 
Pole sana,jino linatesa sana hapo hakuna msaada zaid ya kwenda hosptal,tena nakushaur uende muhimbili.
Lakn cjaelewa yan haujaonana na shem kisa jino?au ksa sura imevimba?mmeanza kudate juz?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom