Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
- Thread starter
- #21
Jino lina uhusiano na papuchi?dawa ya jino ni kung'oa lakini mengine ni ya kuziba tu.
halina uhusiano ila sikutoka naye coz nisingekuwa normak kula bata na maumivu
Jino lina uhusiano na papuchi?dawa ya jino ni kung'oa lakini mengine ni ya kuziba tu.
Pole sana,jino linatesa sana hapo hakuna msaada zaid ya kwenda hosptal,tena nakushaur uende muhimbili.
Lakn cjaelewa yan haujaonana na shem kisa jino?au ksa sura imevimba?mmeanza kudate juz?
Ukipata nafuu,tumia dfp dawa ya meno na mouth wash,huttasikia kwa bomba maumivu ya jino
halina uhusiano ila sikutoka naye coz nisingekuwa normak kula bata na maumivu
the teh teh teeeeeeeeeeeh! Mwenzenu kuchindwa uhuchiano kati ya JM na kuumwa jino! Bhaa mwanakijiji bana wewe, njomba kuchensha!Ukipata nafuu,tumia dfp dawa ya meno na mouth wash,huttasikia kwa bomba maumivu ya jino