MSAGA SUMU JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 6,693 Reaction score 21,765 Aug 12, 2021 #1 Hili geto kuna mida fulani kama ungefanikiwa kuingia ndani na kuiba, basi ungekuwa bilionea.
Acehood JF-Expert Member Joined Oct 1, 2018 Posts 1,668 Reaction score 2,852 Aug 3, 2022 #2 Kulikuwa na nini mkuu
Zekoddo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 1,873 Reaction score 4,580 Aug 4, 2022 #3 Uzi wa Toka mwaka Jana watu hawakuulizia nn kilikuwemo... Mleta Uzi tuambie humo getho kilikuwa na nini..?
Uzi wa Toka mwaka Jana watu hawakuulizia nn kilikuwemo... Mleta Uzi tuambie humo getho kilikuwa na nini..?
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Aug 4, 2022 #4 MSAGA SUMU said: Hili geto kuna mida fulani kama ungefanikiwa kuingia ndani na kuiba, basi ungekuwa bilionea. View attachment 1890143 Click to expand... liko wapi hili ghetto, kunani?
MSAGA SUMU said: Hili geto kuna mida fulani kama ungefanikiwa kuingia ndani na kuiba, basi ungekuwa bilionea. View attachment 1890143 Click to expand... liko wapi hili ghetto, kunani?
aise JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 7,463 Reaction score 20,975 Aug 4, 2022 #5 Yakunle said: Uzi wa Toka mwaka Jana watu hawakuulizia nn kilikuwemo... Mleta Uzi tuambie humo getho kilikuwa na nini..? Click to expand... Kulikuwa na dhahabu tani kadhaa humo. Tuliingia mimi na washkaji wangu tukachukua kilo kadhaa.
Yakunle said: Uzi wa Toka mwaka Jana watu hawakuulizia nn kilikuwemo... Mleta Uzi tuambie humo getho kilikuwa na nini..? Click to expand... Kulikuwa na dhahabu tani kadhaa humo. Tuliingia mimi na washkaji wangu tukachukua kilo kadhaa.
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,946 Reaction score 38,657 Aug 4, 2022 #6 Masonic gheto