Hili biti La Sebene..!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,048
21,524
Jamni kuna hili sebene siku hizi hawaimbi ila ni vyombo tu Kwa kweli linanikosha sana ila sijajua linaitwaje yani hua nalisikia tu. Kwa wataalam wa masebene watakua wameshaelewa nazungumzia nini, naomba mnifahamishe linaitwaje nipate kulidownload.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…