Hili biti La Sebene..!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,139
Jamni kuna hili sebene siku hizi hawaimbi ila ni vyombo tu Kwa kweli linanikosha sana ila sijajua linaitwaje yani hua nalisikia tu. Kwa wataalam wa masebene watakua wameshaelewa nazungumzia nini, naomba mnifahamishe linaitwaje nipate kulidownload.
 
namimi nalitafuta ila silijui jina haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…