Hili andiko linafaa kuthibitisha Yesu na Mungu ni mtu mmoja

Jina la Mwenyezi Mungu unalijua unitajie?
Anaitwa MWENYEZIMUNGU,wewe unataka jina lipi au labda kama unataka sifa zake,yeye ni wa pekee hafanani na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa mwenye kuhuisha mwenye kufisha na sifa nyingine nyingi
 
Mtu ni nini?

Mtu Si mwili, mwili ni vazi la mtu ambaye ni ROHO.

Na Tuumbe Mtu Kwa Mfano wetu!!!!!

Mungu ni mtu, sababu mtu ni ROHO, anaweza kuvaa vazi la mwili, au akabaki na vazi la Roho kama Malaika walivyo.

Mtu amwaniniye Yesu ni WA MILELE, Hana mwisho. Mwili kama vazi la mtu wenye Damu na nyama ndo una mwisho.
Hata wale wanaoabudu Ng'ombe utetezi wao ni huo huo.
 
Wakati mwingine tumwambie Mungu, tumechoka kukuelezea Kila mara Hadi sometimes kunakuwa na uvunjifu wa amani kisa yeye.
Kwanini Mungu kwenye mijadala ya kidini anajitenga?
Tatizo linakuja pale ambapo ameshaelezea kuwa yeye yupo peke Ake,,ila tunalazimisha na mwingine yupo,

Ona kichekesho hiki,Mungu anamwomba Mungu.

kwisha

Luka 6:12
Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
 
Mtakanyagana na kuruka wenyewe, Kwanini anatumia id mbili.Ngoja mungu mimi nimalizie mchango wangu maana kumbe mungu anaweza kuwa kitu cha hovyo tu.
 
Yesu na Mungu ni mtu mmoja

Kinacho shindwa kutambuwa watu ni hivi

Mmoja hapa ni roho na ni invisible
Na mwingine ni visible

Huyu roho ili afamye kazi
Anahitaji huyu mwenye mwili
Ndo maana yesu alisema hivi

Mathayo 28:18

Yesu akaja karibu, akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Basi wenye majini na maruhani wasubughuziwe maana kumbe kuna roho wanaziabudu.
 
Ukijua tofauti ya Trinity na GODHEAD ndo utaelewa Nature of GOD [Uasili wa MUNGU].
Mkiwa tayari nitakuja kuwaelekeza
 
Yes ni mwana wa Mungu,ndio maana Kuna utatu mtakatifu( The holy Trinity) ambao Ni;

Baba( ambaye ndio Mungu mwenyewe)
Mwana( Yesu kristo)
Roho Mtakatifu
 
Back
Top Bottom