Hila ya maridhiano ya damu

Hila ya maridhiano ya damu

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,808
Reaction score
18,044
Screenshot_20251117-084339~2.png
 
Hivi hayo maridhiano yao wanapanga kufanya na nani kwa mfano? Masheikh wa Bakwata, vile vyama mamluki 16 vilivyoshiriki kwenye ule uchaguzi hewa, au!!!

Na kwenye kuunda tume ya kuchunguza kilichotokea Oktoba 29, je wako tayari kuruhusu na wachunguzi wa kutoka nje? Au ndiyo mambo yale yale ya kumpa tumbiri achunguze kesi ya nyani?
 
Mi nshangaavsana na nimetoa onyo naona uzi umefutwa hao watakao changuliwa ktk maridhiano wanarisk familia zao vijana hawana cha kupoteza
 
Back
Top Bottom