Hivi hayo maridhiano yao wanapanga kufanya na nani kwa mfano? Masheikh wa Bakwata, vile vyama mamluki 16 vilivyoshiriki kwenye ule uchaguzi hewa, au!!!
Na kwenye kuunda tume ya kuchunguza kilichotokea Oktoba 29, je wako tayari kuruhusu na wachunguzi wa kutoka nje? Au ndiyo mambo yale yale ya kumpa tumbiri achunguze kesi ya nyani?