The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,427
Ni bei gani hii
Wakafanye wenyeweMshahara wa Mfagizi, Mlinzi na vyeo vingine vya sakafuni(chini kabisa) kwenye Utawala wa Taasisi. Kima cha chini 500,000 na Hauvuki 1.4 M
Mimi naingia kazini kwa maelekezo.. Kwahyo niende au nisiende..Unaulizia mshahara hujachaguliwa wala hujaingia hata oral interview
Asante sana kwa majibu mazuriHiyo ni salary scale ya TPA. Mashirika ya umma tana salary scale zao. Watu pekee wanaojua hiyo ni bei gani ni watumishi wa TPA na msajili wa hazina.
Lakini pia hizo ni confidential documents, kwa maana yule anayetakiwa kuona tu ndio anaona. Hivyo hawaruhusiwi kutangaza kuwa hiyo ni kiasi gani.
Cha kufanya wewe ni kuomba hiyo kazi, ukipata watakupa offer letter ambayo itaeleza kwa uwazi mshahara wako. Unaweza kukubali au kukataa ukatudi nyumbani kuendelea na ujasilimali.
Nenda kafagie office na kuwakorogea maboss sukari kwenye chai.Wakafanye wenyewe