Inategemea kila mtu na tabia yake, wako wenye pesa na wana tabia nzuri na wanasaidia masikini, na wako wenye pesa wana kuwa kama firauni, na wanadhulumu watu..Yani huwezi kugundua nani ni nani mpaa uishi nao:biggrin:
Inategemea kila mtu na tabia
yake, wako wenye pesa na wana tabia nzuri na wanasaidia masikini, na
wako wenye pesa wana kuwa kama firauni, na wanadhulumu watu..Yani huwezi
kugundua nani ni nani mpaa uishi nao:biggrin:
mwanaume akipata pesa familia za nje zinaongezeka, ila mwanamke akipata pesa kila siku yeye anakuwa na vikao vya faragha na wafanyabiashara wenzake kama njia ya kupatia ruhusa,kumbe analea mtu nje ya ndoa
mwanaume akipata pesa familia za nje zinaongezeka, ila mwanamke akipata pesa kila siku yeye anakuwa na vikao vya faragha na wafanyabiashara wenzake kama njia ya kupatia ruhusa,kumbe analea mtu nje ya ndoa