E eddy JF-Expert Member Joined Dec 26, 2007 Posts 17,079 Reaction score 12,308 Sep 1, 2016 #1 Hiki ndicho kilichozungumzwa TICAD, wajasiliamali wadogo kupatiwa 1mUS$, sekta binafsi yapigiwa chapuo, lengo kuzalisha 25% ya ajira za Africa. Japan kutoa 30b US$. Jamani tuchangamkie fursa sasa.
Hiki ndicho kilichozungumzwa TICAD, wajasiliamali wadogo kupatiwa 1mUS$, sekta binafsi yapigiwa chapuo, lengo kuzalisha 25% ya ajira za Africa. Japan kutoa 30b US$. Jamani tuchangamkie fursa sasa.
W wa hapahapa JF-Expert Member Joined Aug 22, 2012 Posts 7,460 Reaction score 4,404 Sep 1, 2016 #2 walengwa wakinufaika itakuwa bahati ...
M MTENDAHAKI JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 4,013 Reaction score 1,448 Sep 1, 2016 #3 Hii imekaa vizuri, tuachane na biashara za kuandamana hazilipi