Kuna tawala ngumu zenye nguvu ya silaha, pesa, zilidokea pua pale wananchi walipoamua wapo viongoz walioingizwa hadi mipini ya majembe huko behind, ile kamba ya uvulivu ikikatika huwa haisubir uchaguz madiketa wengi hawakupigwa chini kipindi cha uchaguz bali ni baada au kabla ya uchaguz,