Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Eti binadamu hatulingani kwenda juu au chini? Yani urefu upo kwenda juu au kwenda chini? Nielewesheni pls
Ngoja kwanza nile
Hamna cha ngoja kwanza!
Iko hivi Biologicaly urefu wa Binadamu toka kiuno => kichwa uko sawa.
Toka kiuno => nyayoni si sawa, tha's why tunapokua kwenye kupeana tendo hapawi na tatizo la kutafautiana maeneo husika kwa shughuli husika.
Jaribu utafute sehemu pafugwapo Kuku na Khanga, utaona mara kadhaa Jogoo hujaribu kumpanda Khanga jike, utakachokiona kitakupanua skills dhidi ya hiki ulichokiuliza hapa.