Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,885
Mimi nawaza humu sijui nani anawaambia eti wanawake wa JF ni wana sura ya kutisha?
Niambieni. Wanaume wa humu mliojificha kwenye avatar mie tokea niwafahamu watu wa humu wanaume wa JF wanasura mbaya hadi kero wamepauka?
Sasa nyie mlitaka mtu kama Beyonce utampataje tuambie tu .
Sema kama unataka warembo kweli kweli basi uwe handsome na ni baada ya kufanya plastic surgery sio mje tu mdhihaki watu nahuku hata nyie mmechoka hivyo.
Hivi let me tell you mwanaume mzuri hata Mzungu haoi watu wazuri maana wanajua so kama mnazingua na Wala hamna hela tutaolewa na vyeipi pelekeni shida zenu huko sio mtukwaze eti tunasura mbaya na hizo I'd zetu zinapicha nzuri ila siye hatumo hivyoo.
Kama nyie ni mangtlemen basi hakunaga
Niambieni. Wanaume wa humu mliojificha kwenye avatar mie tokea niwafahamu watu wa humu wanaume wa JF wanasura mbaya hadi kero wamepauka?
Sasa nyie mlitaka mtu kama Beyonce utampataje tuambie tu .
Sema kama unataka warembo kweli kweli basi uwe handsome na ni baada ya kufanya plastic surgery sio mje tu mdhihaki watu nahuku hata nyie mmechoka hivyo.
Hivi let me tell you mwanaume mzuri hata Mzungu haoi watu wazuri maana wanajua so kama mnazingua na Wala hamna hela tutaolewa na vyeipi pelekeni shida zenu huko sio mtukwaze eti tunasura mbaya na hizo I'd zetu zinapicha nzuri ila siye hatumo hivyoo.
Kama nyie ni mangtlemen basi hakunaga