Hiki kipindi cha Ndodi

Hiki kipindi cha Ndodi

Yegoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2012
Posts
1,434
Reaction score
510
Leo Asubuhi hii radio free africa ilikuwa imeweka kipindi cha Dk Haizaki Ndodi
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,NA KIKE,je ni halali,ni sawa, kwani 2mezoea kukipata Usku tena mda ambao niwa wanandoa,na wapenzi, wanajf nini maoni yako!
 
Frankly speaking Dr. Ndodi mwenyewe huwa anaanza na ule utani wake kuwaambia watoto nendeni kulala nataka niongee na wazazi wenu. Tatizo la leo si Dr Ndodi pia nadhani haikuwa "LIVE" ni kipindi walichorusha juzi au jana usiku kwa kweli kurusha mambo kama hayo na watoto wanasikia asubuhi subuhi namna hii ni "UTOVU WA NIDHAMU WA CHOMBO HUSIKA" inabidi waombe radhi kwa kitendo hicho kama ilikuwa LIVE basi jamii imeharibika na Ndodi amekwisha HEKIMA na BUSARA zake. Nilimuamini sana Dr. Ndodi.
 
Leo Asubuhi hii radio free africa ilikuwa imeweka kipindi cha Dk Haizaki Ndodi
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,NA KIKE,je ni halali,ni sawa, kwani 2mezoea kukipata Usku tena mda ambao niwa wanandoa,na wapenzi, wanajf nini maoni yako!

Haya Bwana hapo kwenye RED!!!!!!!!!!, Duuu! Bongo kila mtu Daktari, kuanzia Raisi full Magumashi
 
ndodi ni mganga wa kienyeji au? kama babu wa loliondo?
 
Jaman wana JF nahisi huyu DK. Ndodi bana anajali sana pesa kuliko kuijali jamii yake na ndo maana hata bei za madawa yake zipo juu
 
Nadhani kipindi hakikuwa cha "LIVE" bali ni "MARUDIO" tu ... pia nadhani ni tatizo la management ya kituo cha utangazaji kurusha kipindi mida hiyo
 
Leo Asubuhi hii radio free africa ilikuwa imeweka kipindi cha Dk Haizaki Ndodi
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,NA KIKE,je ni halali,ni sawa, kwani 2mezoea kukipata Usku tena mda ambao niwa wanandoa,na wapenzi, wanajf nini maoni yako!
Hapo kwenye Red ni Isaack Mkuu siku hizi yule jamaa kachoka sana kwani yupo kibiashara zaidi alikuwa mwanzoni sio sasa!


 
Biashara labda kaona kinaporushwa usiku wateja wanakuwa wachache.
 
Back
Top Bottom