Hiki kina kazi gani??

kidaganda

JF-Expert Member
Aug 26, 2013
2,991
2,564
455dc036284af0c29799d76be8648991.jpg
 
Zamani watu walikuwa wanatembea na visaa vidogo ambavyo huvai mkononi. So hicho kifuko kilikuwa maalum kwaajili ya "pocket watch".
Kuna mdau mmoja alinijibu hivi

"eti ni cha kuwekea Condom..Mfano unaweza changanya badala ya kutoa pesa ukatoa kondomu"
 
Kuna mdau mmoja alinijibu hivi

"eti ni cha kuwekea Condom..Mfano unaweza changanya badala ya kutoa pesa ukatoa kondomu"
Ha ha haaa watu wanavyoficha condom mbali..sidhani kama hapo ni sehemu sahihi ya condom!
 
Nakataa, sababu hizo saa hazipo tena lakini bado hiyo mifuko ipo, mimi naona kwa kuwa ni jeans za kiume itakuwa ni kwaajili ya condom au bublish au simcard ya michepuko
Kiukweli kinatumika kuweka vitu vifuatavyo
-simcard za mchepuko
-bange
-kondom
-sarafu
 
Nakataa, sababu hizo saa hazipo tena lakini bado hiyo mifuko ipo, mimi naona kwa kuwa ni jeans za kiume itakuwa ni kwaajili ya condom au bublish au simcard ya michepuko
Yes saa hazipo tena lakini Lengo hasa la kicho kifuko ni kuwekea saa.
 
Ni kwa ajili ya kuhifadhia saa ndogo zisizovaliwa mikononi badala yake zinakua na cheni ndefu...

Cheni inafungwa kwenye flaiz ya jeans ikishikilia hiyo saa na saa huingizwa kwenye hako ka mfuko kadogo ka jeans.


Jeans ni vazi la ma-cow boy miaka hiyo ya 1800s. Na ni kampuni ya mavazi inayoitwa levis ndiyo ilikuja na huo ubunifu..


Cc: mahondaw
 
Ni kwa ajili ya kuhifadhia saa ndogo zisizovaliwa mikononi badala yake zinakua na cheni ndefu...

Cheni inafungwa kwenye flaiz ya jeans ikishikilia hiyo saa na saa huingizwa kwenye hako ka mfuko kadogo ka jeans.


Jeans ni vazi la ma-cow boy miaka hiyo ya 1800s. Na ni kampuni ya mavazi inayoitwa levis ndiyo ilikuja na huo ubunifu..


Cc: mahondaw
Kwanini lazima u mention mahondaw?
 
Ni kwa ajili ya kuhifadhia saa ndogo zisizovaliwa mikononi badala yake zinakua na cheni ndefu...

Cheni inafungwa kwenye flaiz ya jeans ikishikilia hiyo saa na saa huingizwa kwenye hako ka mfuko kadogo ka jeans.


Jeans ni vazi la ma-cow boy miaka hiyo ya 1800s. Na ni kampuni ya mavazi inayoitwa levis ndiyo ilikuja na huo ubunifu..


Cc: mahondaw

Alaa kumbe!!!!
Asante sana my Smart911 hata mi nilikua sielewi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom