Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,829
- 7,353
Nafatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Zenji (Tamasha la Kizimkazi) lakini kuna jambo limenipa wakati mgumu sana kulielewa. Baada ya Mheshimiwa Rais kuingia kuna kikundi kinachojiita Shomoo kimeingia na kuanza kutumbuiza lakini katika utumbuizaji wao ni kama walikuwa wanafanya tambiko mbele ya Rais wa nchi! Nataka kujua kiitifaki hii imekaaje!!??