Hii ya Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe ni zaidi ya Siasa

VINS

JF-Expert Member
May 10, 2014
293
195
Baada ya kutangaza kugombea uraisi wa nchi DRCongo, Kwa siku kama mbili au tatu ililipotiwa na vyombo kadhaa vya habari kuwa nyumba ya Moise ilikuwa ikizingirwa na wanajeshi, ilisemekana ni kwasababu ya kumiliki walinzi ambao si Wakongo, jana mambo yalimbadilikia baada ya kupandishwa mahakamani kwa kosa la kutaka kupindua nchi. Yale aliyofanyiwa Kiiza ndiyo yanayoelekea kumkuta Moise, viongozi wa Africa hawataki demokrasia kwenye utawala
 
hIVI HUYU KABILA?kawateka akili wacongo,yaani yeye hataki kupingwa mtu akitangaza kugombea uraisi tu basi kosa,Kabila you must go
 
hIVI HUYU KABILA?kawateka akili wacongo,yaani yeye hataki kupingwa mtu akitangaza kugombea uraisi tu basi kosa,Kabila you must go
Anachokifanya Kabila na kama alichokifanya Museveni na Nkurunziza, ubabe mwanzo mwisho
 
!
!
Tuliwahi mno kudai uhuru. Africa inatakiwa kutawaliwa tena, sio kwa ukoloni mambo leo huu uliopo sasa, la hasha. Itawaliwe kwa ukoloni mkongwe ule wa moja kwa moja. Pumbavu!... Haiwezekani kila Sehemu ni the same, Congo, Yanganyika, Zanzibar, Uganda, Zimbabwe ebooh.
 
Akishinda hii kesi atakutana na Risasi ya shingo Lubumbashi watu hawataki mchezo kwny Urais!
 
Back
Top Bottom