Mimi napata shida kutamka neno waziri mkuu mstaafu kutokana na kazi za kisiasa alipaswa kutumikia miaka 5 ,ateuliwe tena miaka 5 atakuwa ametumikia full term sasa linapokuja suala hili kutamka neno mstaafu ihali inajulikana hakumaliza hata kipindi kimoja mimi naona sio sawa