Hii ya kuwalazimisha wanafunzi kusoma somo la dini isiyo yao imekaaje?

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,658
Kuna shule za kiisilamu(Islamic school) lakini zinawalazimisha wanafunzi ambao sio waislamu kusoma somo la Dini ya kiislamu pia kuna shule za kikristo zinawalazimisha wanafunzi wasio wakristo kusoma Dini ya kikristo.

Je kuna mwongozo wowote wa NECTA unaotoa maelekezo kuhusu Masomo ya Dini?
 
Nachofahamu Mimi hizo shule hawamlazimishi mtu kumpeleka mtoto wake pale.. Na ziko clear kabisa kwamba hii ni Islamic or Christian school.. Kwa hiyo ukiamua kumpeleka pale niwewe umeamua.
 
Kuna shule za ki silamu(Islamic school) lakini zinawalazimisha wanafunzi ambao sio waislamu kusoma some la Dining ya kislamu pia kuna While za kikristo zinawalazimisha wanafunzi wasio wakristo kusoma Dini ya kikristo je kuna mwongozo wowote wa necta unaotoa maelekezo kuhusu Masomo ya Dini
Hivi hilo nalo linahitaji msaada wa kimawazo kweli??laah!! Kweli nchi yangu imefuga aina mbalimbali za watu, kwa ivo unataka biblia itumike mskitini mkuu na quraan itumike kanisani???
 
Kuna shule za kiisilamu(Islamic school) lakini zinawalazimisha wanafunzi ambao sio waislamu kusoma somo la Dini ya kiislamu pia kuna shule za kikristo zinawalazimisha wanafunzi wasio wakristo kusoma Dini ya kikristo.

Je kuna mwongozo wowote wa NECTA unaotoa maelekezo kuhusu Masomo ya Dini?
Imekaa kama ile ya kuwalazimisha wanafunzi kujifunza kwa lugha isiyo lugha yao.
 
Wakati najiunga na masomo ya A-level, sheria namba moja ilikuwa
'Kwenda kusali kanisani ni lazima na si hiari kamwe.' Halafu tumefika shuleni ilikuwa ni lazima tusome Divinity.
Sheria hii inakutaka uamue, kusali kila siku kanisani asubuhi na jioni au uache kujiunga na hiyo shule.
Nimesoma na Waislamu na walikuwa wanatii sheria hii na walikuwa wanavumilia hadi harufu ya kitimoto..hahahaha
 
Mwanafunzi yeyote kwbla ya kujiunga na shule hizo huulizwa kama ameridhia na yupo tayari na masharti na sheria na utaratibu wa shule hizo...na husaini kabisa.Sasa weye hilo walfaham???
 
Kwangu Mimi sioni kama in issue ya kuandikia Uzi humu ndani. Kuwa na imani Fulani haikuzuii kuijua imani nyingine wewe jambo hili linakupa uwezo wa kupambanua mambo mbalimbali yanayohusiana na imani mbalimbali. Na unapojiunga na taasis yenye mrengo tofauti na wewe ni kwamba umekubaliana na masharti ya mrengo huo.
 
Back
Top Bottom