Hii wana JF nyie mnaona imekaaje??

Hii wana JF nyie mnaona imekaaje??

oninho

Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
5
Reaction score
2
Kuna hil swala mie sioni kama limekaa vizuri na lina tija mbele ya watanzania ambao tunahitaji maendeleo na mustakabali wa nchi yetu. Tunafahamu kila chama cha siasa kina msemaje wake kwa mambo yote yanayohusu chama husika mfano CCM yupo NAPE NAUYE, CHADEMA yupo John Mnyika, sasa inapotokea kiongozi mwingine wa chama anaongelea mambo fulani hata yale ya binafsi halafu kutoka na kusema eti chama fulani wamesema kitu fulani mie naona sio sawa na ifike mahala tuweze kutofautisha kauli za chama na kauli za mtu binafsi. Mbona kauli za chama huwa zinakuwa na kichwa cha khabari kabisa?? Ni hayo tu kwani kila mtu ana uhuru wa kuongea na kutoa maoni yake ila tu asiingilie uhuru wa mtu mwingine kwani uhuru wa mtu unapoishia hapo hapo ndipo unapoanzia uhuru wa mtu mwingine.
 
Kuna hil swala mie sioni kama limekaa vizuri na lina tija mbele ya watanzania ambao tunahitaji maendeleo na mustakabali wa nchi yetu. Tunafahamu kila chama cha siasa kina msemaje wake kwa mambo yote yanayohusu chama husika mfano CCM yupo NAPE NAUYE, CHADEMA yupo John Mnyika, sasa inapotokea kiongozi mwingine wa chama anaongelea mambo fulani hata yale ya binafsi halafu kutoka na kusema eti chama fulani wamesema kitu fulani mie naona sio sawa na ifike mahala tuweze kutofautisha kauli za chama na kauli za mtu binafsi. Mbona kauli za chama huwa zinakuwa na kichwa cha khabari kabisa?? Ni hayo tu kwani kila mtu ana uhuru wa kuongea na kutoa maoni yake ila tu asiingilie uhuru wa mtu mwingine kwani uhuru wa mtu unapoishia hapo hapo ndipo unapoanzia uhuru wa mtu mwingine.

MKUKI KWA NGURUWE, KWA BINADAMU MCHUNGU, teh teh teh teh teh teh. MTEI HOYEEEEE! samahani nimejisahau
Ila hapo kachemka siyo siri sijui tutamsafisha vipi.
 
Mkuu upo right. Maoni ya mtu yatabaki kuwa ya mtu kamwe si ya chama. Ndio maana vyama vina kurugenzi ya habari, itikadi na uenezi. Kwa mfano suala la Mtei, hayo ni maoni yake na si ya chama japo ni facts tupu.
 
Tanzania wazee tunazeeka vibaya sababu ya hofu ya maisha.
 
Back
Top Bottom