We mpumbavu na watakaokuunga mkono ni wapumbavu kama wewe!
Kwa hiyo unatangaza wazi kuwa wewe ni miongoni mwa waliolaaniwa? Incidence kama hizi zinaweza kutokea popote duniani kwa namna tofauti.
Maisha hayatabiliki, Ukraine watu wengi wamefia kwenye majengo tangu mashambulizi ya Urusi yameanza napo ni Africa?
Marekani mara kadhaa watu wamekufa kwa sababu ya kimbunga Nako ni Africa?
What an idiotic thread!🚮🚮🚮