Hahahahah baharia kaingia rough road ghafla.
mkuu Kuna watu wamerudia kuangalia ,, maana hawakumuona huyo paka hataNaona paka pale chini ameangalia mpaka kachoka.
Mambo ni mengi Sana duniani huwezi yamaliza.Kuna vitu mimi nimeamua vinipite tu potelea pote hata nionekane nipo nyuma ya wakti japo kijana vitu kama Instagram, Tik Tok sijui Likee ivo nimeona wacha vipite tu
hapa ni soko la kule mbuyuni-moshi
China wamevurugwa hawataki masiharaKwa mtindo huu Instagram na FB inabidi wajiandae kisaikolojia
Aisee ..huko kweli kuna balaa