Hii tabia ya wavulana ikome

Hii inaonyesha jinsi wavulana wasivyotumia akili. Na ukiwa "ke" usipende kudate na vi vulana cause nowdays technology imekuja juu waweza hata tegesha simu pahali bila wewe kujua.
Nawashauri watu wawe makini sana maana waweza kujibastola bila kujua kisa starehe ya muda mfupi. Ndo maana wale wenye ufahamu wanapenda kutumia maneno haya " kabla hujatenda jambo, fikiria athari zake na faida zake cause starehe ya muda mfupi yaweza ku cost maisha yako yote"
 
Daaah sio poa kwakweli lakini na madem smtym hujirekodi wao kwa wao,na kuupload mtandaoni
 
Nyingi zimevujishwa na hao hao wadada. Eti rekodi kwa kumbukumbu
 
Aisee..
Na nyie wasichana hamnazo pia.. Inakuwaje unakuwa mwepesi kurekodiwa? Au huwa mnaleweshwa kwanza?
 

Mlishaambiwa ikimbieni zinaa, uasherati usitajwe kwenu ila hamsikii!! mnadhani mngekuwa tayari mmeolewa mngefanyiwa huo mnaouita ushenzi?
Kama makatazo ya mungu tu yamewashinda hayo ya kupigwa picha mtayaepuka vipi?
UKILIMA VIAZI USITARAJIE KUVUNA MIHOGO.
 
Wajinga ni wale wanaokubali kupigwa picha au video,cdhani kama mwanamke akikataa atalazimishwa.Ni kweli sio jambo zuri maana linakuwa na madhara sana after break up,lakini husilaumu mpigaji picha wakat hata mpigwaji alikuwa anaweka mapozi kwa madaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…