Hii tabia jamani kama unayo jitahidi kuiacha

Hii tabia jamani kama unayo jitahidi kuiacha

mkuu hatar sana!
halafu ukute siku ni zamu yako kuosha vyombo baada ya huo mlo! lazima uombe pooo

Hahahaga umenikumbusha mvalii aiseee hahahahaha bro alilia uji wangu the akashindwa kuumaliza maza akamwambia ehee umalize sasa lol nikawa namcheka tu
 
hahahahahaha lol!!! atakustukia tu unamsema yeye, mtu wa karibu kumpakia wala si shida lakini ambaye hujamzoea kiasi hicho inataka uso wa dagaa lol! hata ukiutia pilipili hata kukapua macho hakapui 🙂🙂

hahahaha! Mimi niwe kwenye mudi yangu nzuri na imenikera kumoyo nampa live kwakweli,nikitulia ujue haijanikera au nimekerwa lakini niko na mudi mbaya,nikiwa na mood mbaya huwa sipendi kuongea kabisa hata mtu anikosee vipi ntamwangalia tu, Halafu BAK mi nashindwa kuelewa hivi kuna tatizo gani na kitu chakula? Unajua chakula ndiyo source ya magomvi mengi sana kwenye nyumba? Kikiwa kidogo ni shida kikiwa kingi ni shida.
 
Last edited by a moderator:
...lakini watu wa hivyo ambao hawaweki kitu moyoni ni bomba sana kuliko mtu kuweka kitu halafu siku vikimshinda anakwambia vitu milioni kidogo lol!!! Kuhusu chakula hata sijui sababu kubwa ya hili mimi kinachonikera kumwaga chakula yaani hili linanikera sana.

hahahaha! Mimi niwe kwenye mudi yangu nzuri na imenikera kumoyo nampa live kwakweli,nikitulia ujue haijanikera au nimekerwa lakini niko na mudi mbaya,nikiwa na mood mbaya huwa sipendi kuongea kabisa hata mtu anikosee vipi ntamwangalia tu, Halafu BAK mi nashindwa kuelewa hivi kuna tatizo gani na kitu chakula? Unajua chakula ndiyo source ya magomvi mengi sana kwenye nyumba? Kikiwa kidogo ni shida kikiwa kingi ni shida.
 
jaza mpaka kilemba ila usile haraka haraka
SIPENDI MTU ANAEKULA HAraka haraka uku akimwaga mwaga na kuhema kama anakimbizwa sipendi jamani

ukila hivyo naachaa nakuachia umalize chote tabia hiiii hunikera sana
 
Unampa mtu makavu kama akijisikia vibaya ndio ajifunze
Maana wengine kupika mpaka aje mgeni nipike aguse nampa simkopeshi
 
Hahaha hapa situnaongelea mada ya chakula ila mmnh japo kiswahili kipana sanaa

Yeah. ni chakula mkuu. Ila mimi sipendi na sitaki kupakuliwa, ndio sababu spendi kula kwa mama ntilie.
 
Nimeshuhudia wengi hotelini wanaagiza sahani ya chakula halafu wanakula chini ya robo, si wangeshinda njaa tu tukajua moja!
 
jaza mpaka kilemba ila usile haraka haraka
SIPENDI MTU ANAEKULA HAraka haraka uku akimwaga mwaga na kuhema kama anakimbizwa sipendi jamani

ukila hivyo naachaa nakuachia umalize chote tabia hiiii hunikera sana

Haaa Mkuu nadhani wewe haikukeri yani Mimi ndio nachukiaaaaaaaa narudia tena NAICHUKI KUPITA MAELEZO wengi wako unakuta ni walafi
 
Nimeshuhudia wengi hotelini wanaagiza sahani ya chakula halafu wanakula chini ya robo, si wangeshinda njaa tu tukajua moja!

Yeah alafu unakuta hapo kaagiza sahani 15000 alafu anakula vijiko viwili vitatu nikeshiba kisa tu ela IPO khaaa yani ingekuwa kwenye tabia hii wanakufa basi wafujaji na walafi wengi wasingekuwepo japo binadamu hatujakamilika
 
  • Thanks
Reactions: rpg
Hii mada wakuu imenigusa na mimi kabisaaa,ni jana tu nilikuwa na familia tunakwenda kwa mapumziko bagamoyo nikapita kwa rafikiyangu mkewe akatuandalia misosi hatarii,nilijaza mpaka basi lakini hata nusu sikumaliza nikakiacha,nilijisikia vibaya sana,kiukweli kuanzia leo nimeacha hiyo tabia na nibora kwenda kuongeza kuliko kubakiza,thanx mleta mada.
 
Ni kweli kabisa siyo tabia nzuri, bora hata uwe umepakuliwa utasingizia cha ajabu mtu kajipakulia mwenyewe, kama huna imani na chakula bora kupakua kidogo kujiridhisha Kama ni kitamu kikiwa fresh ndipo unaweza ongeza.


Hata kama umepakuliwa omba ambunguze kabla haujaanza kula yaan mi naonaga uchungu kumwaga chakula alichoacha mtu wakati wengine . hata mlo mmoja na hawajui watapata wapi msosi
 
Back
Top Bottom