C.Thady
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 589
- 155
Kuja tabia ambayo watu wengi wana kuwa nayo ya kujaza chakula kingi alafu anakula kidogo anaacha kiasi kwamba wengine wanakosa. Alafu sasa bora ata ale kwa usaarabu angalau lakn mmnh anavyokula kama mtoto yanii yan kama ni wali atajaza sahan nzima alafu anauchanguachangua kisha anasema kashiba kwa kweli nachukiaga sanaa hiyo tabia