mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,856
- 106,084
Nauunga mkono hojaMtu mzima anapoambiwa asitoke nyumbani
Ova
View attachment 1405197
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwanini?Hakuna cha ligi wala ulanzi..
Waliobakiza matofali ya kujengea jiko ndo watachezea...wallah
Mungu aepushilie mbali.
C
Atakuwa bashite huyoAfya yake ya mwili hatua wasiwasi nayo ila afya ya akili ina walakini.