Kwanza kuanzia jana nimeshangaa sijalipia hata senti lakini napata channel zooote.......... Nimekula gudtym weeeeeee nashangaa leo mida ya mchana kitu imekata full tym inaniambia NO SERVICE ni kwangu tu ama na nyie ni hvo???
Kwa wale wa Arusha nijuzeni.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kwa wale wa Arusha nijuzeni.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums