secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 21,617 Reaction score 44,413 Jan 1, 2026 #21 Mshana Jr said: Kuhusu reply yangu ya Afya ya akili mimi sikukulenga wewe bali wale wote wanaowehuka na kupata wazimu na kitu cha kufikirika kilichotungwa na binadamu Click to expand... Ngoja niipangie tarehe ya maadhimisho ya nyeto duniani nione watakaowehuka niwangapi.
Mshana Jr said: Kuhusu reply yangu ya Afya ya akili mimi sikukulenga wewe bali wale wote wanaowehuka na kupata wazimu na kitu cha kufikirika kilichotungwa na binadamu Click to expand... Ngoja niipangie tarehe ya maadhimisho ya nyeto duniani nione watakaowehuka niwangapi.
EvilSpirit JF-Expert Member Joined Jun 15, 2017 Posts 13,278 Reaction score 20,896 Jan 1, 2026 #22 Maisha ya mtu yamebase kwenye siku moja moja sasa why uzikusanye siku 365 ndio ushukuru badala ya kushukuru kila siku
Maisha ya mtu yamebase kwenye siku moja moja sasa why uzikusanye siku 365 ndio ushukuru badala ya kushukuru kila siku