Hii pisi mazee ni hatari

Hii pisi mazee ni hatari

Sasa sisi tutaamini vp bila picha...!!!

Ungepiga kapicha jamaa
Ataletaje picha wakati kaleta thread mwenyewe?! Unaweza kuamini kuwa mpita njia anaweza kumtazama mtu na kutambua kuwa mhusika ana urefu wa cm 180 - 190? Hiyo kitu haipo.
 
Mkuu Azarel huyu fau bado yupo ili niende muda nikafungue akaunti si kwa sifa hizi..
Nipo nimechili hapa N.I.T ukijibu namuibukia fasta, naona humu jf zaidi ya kumsifia hakuna alieleta mrejesho wa maana.
Naahidi kuwakilisha vyema hii kw mtoto FAU
CC cocastic
 
Mkuu Azarel huyu fau bado yupo ili niende muda nikafungue akaunti si kwa sifa hizi..
Nipo nimechili hapa N.I.T ukijibu namuibukia fasta, naona humu jf zaidi ya kumsifia hakuna alieleta mrejesho wa maana.
Naahidi kuwakilisha vyema hii kw mtoto FAU
CC cocastic
Nipe hela, nikufanyie mafekeche hapoo.
😂😂😂😂😂
 
Toaaa upareee wako hapaa,uzuri upo machoni kwako,unatulazimisha na sisi tumuone ni mzuri,kila mtu ana kitu anacho oona ni kizuri kwake.shingaaaa matamaa ambiereee,vindugwaa....
 
Back
Top Bottom