Hii picha imeniuzunisha!

Hii picha imeniuzunisha!

Ishmael njoo uone ndugu zake Yesu !
BipPZLYIAAAqLMY.jpg
 
Viongozi wetu bado full kujipendekeza kwa hawa watu wasio na utu!
 
hivi leo hii apatikane aliens hatawekwa zoo? ili watu wajionee la hasha kumbe tuna kiumbe tu. afanana nacho / nafikiri ndicho kilichotokea
 
kuna siku back in days nlikua ktk course moja ughaibuni, kitabu flani cha language kilikua kinazungumzia Femine in africa. Picha ya mtoto wa kiafrica ikawa ndo imewekwa pale na mtoto mwembambaaaa kwa njaa. That day katika kile kipindi machozi yalikua yakinitiririka mpaka kipindi kilipoisha. Instructor alikua mzungu. Anavoelezea kwa mbwembwe ndo alinifanya niongeze hasira zaidi na hawa watu.
Sitasahau
 
Hiyo pengine siyo mbaya sana, mbona siku hizi mnajengewa vyoo kwa hisani ya watu wa marekani, mara vitabu, mara madawati, vifaa tiba etc halafu people are accumulating billions (hela ya mboga, vijisenti), kushindwa kujitawala si utumwa mbaya zaidi?
 
Siku hizi mkinyimwa visa mnaumia sana,zaman wazee walienda kwa bakora,mungu ibariki Afrika
 
Back
Top Bottom